Jisaidie kwanza ww, maana upo jukwaa la siasa lkn anasema hufuatilii siasa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Amini mkuu
Hapo sio fisadi tena!Kazi ameshamaliza!! Kuna mwingine bado yuko huko anakamilisha kazi...!!
Sioi Sumari anaozea jela, Pamela mbunye inawasha, wenye mamlaka wanakupa option kama ni wewe utafanyaje? Si unajuwa mababa tunavyowapenda mabinti zentu? Lowasa ana cha kupoteza tena, alikuwagaHivi hii inasaidia vipi Watanzania kuwa na hawa wanasiasa malaya wanaojali maslahi yao badala ya Watanzania?
Nenda MMU mkajadili huo ujinga huku ni siasaUmeshindwa mvuruga mkeo kitandan aje atuvuruge sie..ovyo
Lowassa au?Hawezi kwenda CCM huyo.
Hatimaye dr slaa na lowassa wapo chama kimoja..maisha yanaenda kasi sana..!