Hii ni enzi nyingine,aishi kwa adabu na afanye biashara halali.Akileta za kuleta akae mkao wa kula.Kwanza si alisema anahamisha biashara zake,kasahau nini Tanzania?Rostam Aziz the King Maker.
Like or hate him, he decides who rules Tanzania or at least how Tanzania is ruled.
Ufisadi wa lowasa ulianzia bungeni na siyo cdm mpk akaachia ngazi.
Hebu turudi kwenye kashfa ya mavi kwenye suluari ya lowasa majukwaani, inzi matakoni pa lowasa. Pumpas pa kunyea lowasa! Ilikuwa ni haki kumtamkia Yale? Je alistahili Yale? Maana kama kuharisha alitoka nako ccm, haya toeni pongezi kwa cdm, kwa kushika mavi ya uharo wa lowasa kumnawisha.
Kumtibu mpk uharo kukata,Leo hii ni msafi mmempokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamepotea jabisa leo akina Chakubanga na timu yake.Kufuatia kuhama kwa lowasa ccm kwenda chadema wanaccm walizungumza mengi sana.
Umoja wa vijana CCM walimkashif sana.....
Leo nipo upande wao.....je hili la kurudi tena CCM watasema nn?
Maana tumezoea kila kitu wanashangilia tuuu.
Akina polepole na msukuma nadhani wanaugua huko walipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, Kwanza tujiulize. Nani anamwitaji mwenzake zaidi? Rostam au CCM?Hii ni enzi nyingine,aishi kwa adabu na afanye biashara halali.Akileta za kuleta akae mkao wa kula.Kwanza si alisema anahamisha biashara zake,kasahau nini Tanzania?
nakaryagunene matapishi gukuWalyaga hene matapishi ango Nyanda?!
sasa yuko nae, ngoja tusubiri kauli yake. lakini kwa vile ccm hawana mshipa wa aibu atampongeza
Sio CCM ya Magufuli mkuu.Ameona mambo hayaendi South Africa.Ujuaji juaji kule na vidili vya kijinga jinga kama bongo ni unacceptable na out of place.Mkuu, Kwanza tujiulize. Nani anamwitaji mwenzake zaidi? Rostam au CCM?
Rostam alikuwa anaishi South Africa. Kurudi kwake ni dalili CCM wanamhitaji zaidi. Hawa hafanyi biashara kichaa.
nao wanatafakari watakuja na gia ganiWamepotea jabisa leo akina Chakubanga na timu yake.
ππππππππππ my Ribssasa yuko nae, ngoja tusubiri kauli yake. lakini kwa vile ccm hawana mshipa wa aibu atampongeza