Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Ni kwasababu anarudi kwenye mavumbi alikokuwa mwanzoni.
 
kwa sababu kuwa mpinzani ni sababu ya kuikosoa serikali iliyo madarakani, sasa unapoamia chama tawala unaenda kukosoa nini?
 
Acha hao.. hata mimi .
wajinga ndio wako kule kimaslahi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…