Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Kwa kuwa amerejea alikotoka, hiyo ni haki yake kikatiba. Watakaopongeza watampongeza na watakaolaani watamlaanI
Waliomsafisha wataanza tena kumchafua na waliomchafua watamsafisha upya. Ndio siasa zetu zilivyo.
 
Yoyote anaye support CCM mie huwa nashangaa sana hivi hawaoni suffering of Tanzanian people?..very selfish people ...kuweka matumbo Yao mbele mxiewww

Becky

Ndio maana matukio kama haya yananifanya nizidi kujivunia opposition!

Watu wa opposition ni watu fulani very intelligent,righteous,tough na hatukatagi tamaa!

These are the virtues I'm ready to die for!

My heart goes to all men and women who left all the luxuries of this world CCM's government can offer and decided to die for the noble cause of democracy of this country through opposition!

These are the toughest people in Tanzania....I"m with 'em till the end!
 
Nadhani ameambiwa sharti la mkwewe kutoka sero basi arudi ccm!! Na fisadi imebidi achutame.
Sasa ni wakati wa Mbowe kuachia uenyekiti ili chadema iongozwe na vijana wasio mamluki ama sivyo aking’ang’ania kuongoza chadema itakufa!! Yeye ndio aliyekiuza chadema kwa Lowassa! Lazima Mbowe awajibike kwa hili.
 
Dr. Slaa sasa upo tayari kufanya kazi na choo, wakati ule uliikimbia ukasema ilikiwa sebureni lakini harufu ikakutoa nduki, sasa imerejea chumbani kabisa...tunasubiri ufafanuzi wako
Wanasiasa wanajuana wenyewe....hivi zile kauli za kina msukuma na nape hazikumbuki
 
Walaaaaa

Mzee hata hujui analysis yoyote about opposition...

Maalim na Lowassa hawana intersection wewe!

Lowassa amerudi humo,ile mamba haijafa,itamgeuza Jiwe kitoweo,subirini!
Hahaaa 2020 hiyooo! Anaenda kujikatia kipande chake alichokibakisha awali! Kumbuka alikuwa na ccm yake ndani ya ccm! Mchezo alioutumia wa kuondoka na sehemu ya jeshi na kwenda kuliunga na jeshi jipya ili kupata jeshi kubwa na imara inaweza kuendelea kumweka kwenye ramani ya siasa ila kuhusu madaraka asahau!! This time anaweza kuondoka na kijipande kidogo tu kutoka chadema ambacho hakitamsaidia kama kile alichokibandua kutoka ccm 2015!! Pia labda anaogopa kuwekwa jela nna umri wake ule!!
 
Dr. Slaa na mamvi wote walikuwa kitu kimoja, ulikuwa ni mpango uliopangwa na ukapangika, Mamvi alikataliwa na wazee wa kitengo ila kikwazo kilibaki kwa wafuasi wake ndani ya ccm na namna ya kupoza machungu ya kukata jina lake ilibidi atafutwe mshenga ambae ni Much. Gwajima amfungishe ndoa kwa Chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…