MAMBOMPANGO
Senior Member
- Sep 2, 2009
- 121
- 57
Kwa kuwa amerejea alikotoka, hiyo ni haki yake kikatiba. Watakaopongeza watampongeza na watakaolaani watamlaanIWaziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim n.k
View attachment 1035375View attachment 1035381
Yoyote anaye support CCM mie huwa nashangaa sana hivi hawaoni suffering of Tanzanian people?..very selfish people ...kuweka matumbo Yao mbele mxiewww
Kazi mnayo [emoji23][emoji23][emoji23]HANA IMPACT ARUDI TU HANA ISSUE
Wanasiasa wanajuana wenyewe....hivi zile kauli za kina msukuma na nape hazikumbukiDr. Slaa sasa upo tayari kufanya kazi na choo, wakati ule uliikimbia ukasema ilikiwa sebureni lakini harufu ikakutoa nduki, sasa imerejea chumbani kabisa...tunasubiri ufafanuzi wako
Mamaaaa yangu hamjuwi kuwa kaja kuwapiga kidole 😂😂😂😂😂😂Bavichaa haaaahaaaahaaa leo mmeachwa makalio waziii...alipohamia chadema wwnyew mlimpokea kwa mliyoyaita mafuriko leo imekuwa hana impact.. ..haaaahaa impact my foot.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi kwelikweliNimepokea simu ya moja kwa moja kutoka kwa mtu makini sana kwamba Lowassa anarejea CCM
Hahaaa 2020 hiyooo! Anaenda kujikatia kipande chake alichokibakisha awali! Kumbuka alikuwa na ccm yake ndani ya ccm! Mchezo alioutumia wa kuondoka na sehemu ya jeshi na kwenda kuliunga na jeshi jipya ili kupata jeshi kubwa na imara inaweza kuendelea kumweka kwenye ramani ya siasa ila kuhusu madaraka asahau!! This time anaweza kuondoka na kijipande kidogo tu kutoka chadema ambacho hakitamsaidia kama kile alichokibandua kutoka ccm 2015!! Pia labda anaogopa kuwekwa jela nna umri wake ule!!Walaaaaa
Mzee hata hujui analysis yoyote about opposition...
Maalim na Lowassa hawana intersection wewe!
Lowassa amerudi humo,ile mamba haijafa,itamgeuza Jiwe kitoweo,subirini!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...Hii nchi uelekeo wake haueleweki aisee!
Huyu ni mamluki wa CCmWhat a timing! Kwenye msiba wa Ruge. Kila la heri msaka fursa ya uraisi. Ila cdm mmetia aibu katika hili. Nafasi kubwa kama ya uraisi mnampa mamluki agombee?
Ha ha ha mwamba wa kaskazini na Raisi wa mioyo huyooo kawaacha na mioyo yaoRaisi wa mioyo yetu....hahahaaaaa
Dr. Slaa na mamvi wote walikuwa kitu kimoja, ulikuwa ni mpango uliopangwa na ukapangika, Mamvi alikataliwa na wazee wa kitengo ila kikwazo kilibaki kwa wafuasi wake ndani ya ccm na namna ya kupoza machungu ya kukata jina lake ilibidi atafutwe mshenga ambae ni Much. Gwajima amfungishe ndoa kwa ChademaWakati tulipoasi Chadema ile dakika mlipomuasi Dr Slaa sababu ya huyu jamaa tulitukanwa sana. Naomba niseme kwa nia njema na ya dhati kabisa. Tuombane radhi maisha yasogee otherwise hatuisaidii Tanzania. Zile hatua za 2015 yalikuwa makosa ya karne, kubalini tujipange upya wakuu. Hakuna haja ya kushupaza shingo.
Sent using Jamii Forums mobile app