MAMBOMPANGO
Senior Member
- Sep 2, 2009
- 121
- 57
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim n.k
View attachment 1035375View attachment 1035381
Kwa kuwa amerejea alikotoka, hiyo ni haki yake kikatiba. Watakaopongeza watampongeza na watakaolaani watamlaanI
Waliomsafisha wataanza tena kumchafua na waliomchafua watamsafisha upya. Ndio siasa zetu zilivyo.