Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

naona kama vita ya 2015 bado mbichi....mzee kahisi tishio la jasusi kaona na yeye aunde kambi yake yenye nguvu...hiyo ndio siasa...sasa...kumbuka rostam na apson ni team lowassa na wameshafika kwa mzee....nadhani hapa kuna makubaliano...
Dah hawa jamaa kuna kitu kikubwa wanataka kutupiga tena,ameenda kuungana na Rostam,chenge,tubaijuka &Co. Ma mastermind sa hivi itakuwa kimyakimya na jiwe alivyo mkali kufunika tutalizwa...
 
Tusitegemee chadema mpya kutoka kwa viongozi hawa wa sasa ambao walikula matapishi yao. Tusijipe moyo kuwa sasa tunaenda kuwa na chadema imara wakayi hawa ndio viongozi wasio na msimamo.
Kiongozi pekee sasa hivi chadema ni John Mnyika, alionyesha wazi kwa boy language kuwa hakuunga mkonobkupokelewa kwa lowasa na alikuwa kama amekizilia chama.
Huyu ndiye apewe uenyekiti na apewe rungu kabisa kinyoosha watu.
 
Unajitahidi Sana !! Kazana
Hivi kama njia ni nyeupe kwanini tume ya uchaguzi isiwe huru ?!. Lowassa ameondoka (fine). Lakini upinzani umo mioyoni mwa WaTz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nchi hii hakuna upinzani kabisa kama lowasa ataitwa tena fisadi itabidi mbowe nae aunganishwe kwenye iyo list maana nae ilisemekana kakatiwa dili na fisadi lowasa akamsafisha kwamba sio fisadi
 
Jihurumie mwenyewe, na mawazo yanayokusumbua wala hayawasumbui wale unaofikiria.
Kwani kuna lipi la ajabu Lowassa kurudi CCM. Pambaneni na hali yenu.
 
Niseme tu ukweli.nimeishiwa nguvu.
Ile kauli ccm itatawala milele.uenda ikawa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ndio siasa.Watu walipoteza pesa,kazi , biashara nk mchezo wa ngumi roundi ya kwanza ilikuwa 2015 tukutane 2020 usichoke karibu kwenye ulingo wa ngumi za siasa round ya pili 2020 kati ya CCM na Upinzani Usivue gloves tukutane 2020 round ya pili
 
Mashabiki wa wanasiasa mnapata taabu sana
Sasa hivi upepo umegeuka wale waliokuwa wanamsema vibaya kazi kwao sasa kumsifia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…