lingamba lidodi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 964
- 1,137
Chadema wasiingie kwenye mtego wa kuimba huo wimbo.Ngoja nianzishe Mimi chorus kwa chadema
LOWASSA NI FISADI
haya chadema twendeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka ugoko niweke chuma hizi siasa haziwezi awaachie wagumu watoto wa manyang'au
Alidhihirishia dunia kuwa kweli bwege jina lake!Yani Ile clip yake sijui nimeisave wapi jamanii,.ningekuwekea hapa uione kwa sekunde 60 ujichekee na ww,..
Anatekeleza Ilani ya Chama Gani?Hivi Dr Slaa yupo CCM ma serikalini, Lini Dr Slaa alijiunga na CCM.
Maendeleo hayana chama..Piga kazi tujenge nchi!!!Kwa kweli ametupatia mtihani mgumu ambao tutafaulu kufeli, maana hatujui tufanye Nini na tuwaambie Nini wale tulionena maneno haya mbele yao.
Eeeee Mungu turuhumie, sisi ni wanasiasa
Waache wamalizane!Yanazungumzwa mengi kuhusu kuhama kwa Lowassa na kurudi CCM. Mimi nimelitazama katika angle tofauti.
Hii Sasa sii Vita ya CCM na upinzani, la hasha! Mzee mzima kaelemewa huko ndani ya Nyumba Yake. Hali sii Hali, hususani kuwepo kwa harufu ya wenye Chama halisi dhidi ya huyu Mzee. Zipo taarifa za watu kujipanga ndani ya Chama ili kufanya yao 2020. Ni kwa muktadha huu Magufuli ameamua kuwarudisha katika timu the Kings makers EL na RA. Hii Ni kujiandaa na mashambulizi kutoka kwa Mzee Membe ambae ukimya wake katika mikakati kumewavuruga Gweregwere. Kwa Hali ilivyo, Magufuli Yuko tayari kuunga nguvu na yoyote Yule ilimradi pawepo na uwezekano wa yeye kushinda ndani ya Chama 2020.
Team Mangula (Mzee wa mafaili) na Wote mliojitoa ufahamu 2015, mliemchukia KARUDI. MEMBE KAA STANDBY. USIMSAHAU DOGO LAKO NAPE. KARMA lazima iwatembelee 2020!
Sent using Jamii Forums mobile app
lini lowassa alienda ccm?acha kiweweJe dr slaa atarudi chadema mana alienda ccm kisa lowassa awez kaa na fisadi sasa amerudi tena ccm cjui itakuaje
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ufisadi hakuna tenaHatimaye fisadi limerejea kwao. vipi slaa vipi?
Kwamba mioyo inachagua tuu hata ukiwekwa wewe kugombea urais?Unajitahidi Sana !! Kazana
Hivi kama njia ni nyeupe kwanini tume ya uchaguzi isiwe huru ?!. Lowassa ameondoka (fine). Lakini upinzani umo mioyoni mwa WaTz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Faida Sana kwa upinzani. Ila Mzee baba kavurugwa, Koroshow haimuachi salama! Dollar na Shillingi ndio kabisaa. Sasa Lowassa na Rostam wanakumbukwa kwa michezo yao kuelekea 2005, Mzee kaona labda watamsaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app