Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Alikua mzigo tuu siasa za ukombozi hawezi huyu babu.
Hata mchango kwa chama hana.
Tunashukuru kutupa wabunge madiwani wengi 2015 na jina chadema.sasa ni maarufu kuliko chama cha mafisadi ccm.
Ile mahakama ya mafisadi itapata kesi kweli maana iliundiwa ambao leo ndiyo waliokua mstari na mkiti katibu PM
Alluta Continua
 
Kwa kweli ametupatia mtihani mgumu ambao tutafaulu kufeli, maana hatujui tufanye Nini na tuwaambie Nini wale tulionena maneno haya mbele yao.

Eeeee Mungu turuhumie, sisi ni wanasiasa
Maendeleo hayana chama..Piga kazi tujenge nchi!!!
 
Yanazungumzwa mengi kuhusu kuhama kwa Lowassa na kurudi CCM. Mimi nimelitazama katika angle tofauti.
Hii Sasa sii Vita ya CCM na upinzani, la hasha! Mzee mzima kaelemewa huko ndani ya Nyumba Yake. Hali sii Hali, hususani kuwepo kwa harufu ya wenye Chama halisi dhidi ya huyu Mzee. Zipo taarifa za watu kujipanga ndani ya Chama ili kufanya yao 2020. Ni kwa muktadha huu Magufuli ameamua kuwarudisha katika timu the Kings makers EL na RA. Hii Ni kujiandaa na mashambulizi kutoka kwa Mzee Membe ambae ukimya wake katika mikakati kumewavuruga Gweregwere. Kwa Hali ilivyo, Magufuli Yuko tayari kuunga nguvu na yoyote Yule ilimradi pawepo na uwezekano wa yeye kushinda ndani ya Chama 2020.
Team Mangula (Mzee wa mafaili) na Wote mliojitoa ufahamu 2015, mliemchukia KARUDI. MEMBE KAA STANDBY. USIMSAHAU DOGO LAKO NAPE. KARMA lazima iwatembelee 2020!

Sent using Jamii Forums mobile app
Waache wamalizane!
 
Je dr slaa atarudi chadema mana alienda ccm kisa lowassa awez kaa na fisadi sasa amerudi tena ccm cjui itakuaje


Sent from my iPhone using JamiiForums
lini lowassa alienda ccm?acha kiwewe
 
kwahiyo lowasa atawekwa zizi gani,la wale ng'ombe walokatwa mikia au wale walio na mikia?
 
Ni Faida Sana kwa upinzani. Ila Mzee baba kavurugwa, Koroshow haimuachi salama! Dollar na Shillingi ndio kabisaa. Sasa Lowassa na Rostam wanakumbukwa kwa michezo yao kuelekea 2005, Mzee kaona labda watamsaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ktk Siasa hizi hakuna urafiki wa kudumu.
Sote tumeyashuhudia na tutaendelea kuyaona mengi tuu.
 
Ng'ombe aliyekatwa mkia karejea zizini ila atakuwa anajishtukia kichizi
 
Back
Top Bottom