pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Tulimtukana ndio kwa muktadha wa kipindi kile...nyie mlikanusha kwa hiyo na mimi nakanusha ha ha ha
AiseeMzee kaondoka na ramani ya ufipa, lazima watafutane. Mtahangaika sana na mzee huwaga hajibu kitu atapiga kimya tu. Tuliwaambia mbn hata gwanda havai Mara ooh Mara ooh, sasa kiko wapi
ndo namimi nishangae? nisaidie Muuliza au wana cha kumlipa? wamnunue kama wanajiwezaAache ubalozi?
Weeee ufipa hakuna ramaniMzee kaondoka na ramani ya ufipa, lazima watafutane. Mtahangaika sana na mzee huwaga hajibu kitu atapiga kimya tu. Tuliwaambia mbn hata gwanda havai Mara ooh Mara ooh, sasa kiko wapi
Pathetic!!!!hata matokeo yasipokua ya haki..ni wapi penye haki hapa Duniani? Tukubali tu ili maisha yaende inabidi tutumie maarifa Mungu aliyotupatia.
Lowasa anafamilia yake.Hili swali hata mimi linanipa wakati mgumu sana.
Wanasiasa wote wanafik, wapo kwa maslahi yao binafsi na si maslahi ya wananchi kama tunavyojitahidi kuamini.
Watanzania, tusiuane na kujiumiza kwa kushawishiwa na viongozi wa siasa au eti kwa mapenzi ya chama. Hili ni fundisho kubwa sana.
ndo namimi nishangae? nisaidie Muuliza au wana cha kumlipa? wamnunue kama wanajiweza
mboweAmefanya jambo la heri nakumbuka sana usemi wa mange kimambi ya kwamba
Lowassa ni zigo la mavi chadema toweni huu mzigo"si maneno yangu hayo ni kimambi on air
Lakini mbowe alikuwa mbishi kweli mpaka kimambi akawa anamtumia direct sms mpaka nakutaka kumtukana lakini mbowe alibeba tu huo mzigo aisee zile million 400 alizotia mfukoni ziko wapi leo mbowe mbowe eeeeeh haya ngoja tuone
Kingine nimemkubali sana lowassa maana amecheza ka messi vile yani wakati wa msiba wa boss ruge unatrend yeye ndiyo kang'atuka hahaha dah najikuta najicheka mwenyewe
Kingine alichokosea ni kwamba kawahi sana angesepa mwakani mwezi kama huu alafu tuone upinzani utakuwa na hali gani!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo ulianza kwa chadema, hakuna kupinga. Kila pembe ilikuwa ni "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" alipokosa kuteuliwa kuwania urais wa tiketi CCM akajitoa CCM na kuhamia chadema, akapewa nafasi ya kugombea urais kwa tiketi ya chadema, ghafla chorus ya "Lowassa fisadi, Lowassa fisadi" ikawa inaimbwa na wana CCM.
Sasa karudi CCM nani ataiimba chorus hiyo?
Siasa ni mchezo mbaya sana.