Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Lowassa siyo Waziri Mkuu Mstaafu,sema ni Waziri Mkuu wa zamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
daah niliemfata kanikimbia

dakta slaa alimkimbia kafatwa huko huko.

Sasa mimi na slaa tupo kwa njia panda.
 
Wana nd
tulikuwa tukifunga na kuomba fisadi kuu liondoke ajiunge na alikozaliwa. Mungu katujalia ameondoka kajiunga na RA kubwa lao. Sasa ni wakati wa kumweleza Sumaye na wengine waondoke na Freeman Mbowe muuza chama. Zitto arudi cdm aongeze nguvu upinzani. Lisu tayari kashapata njia nyeupe kumkabili JP. Mbowe umefanya mengi tunakushru sana kwa ili la lowasa kwa kweli ulituumiza sana. Hata Dr. SLAA ANAWEZA KURUDI SASA na John kapata raha kwani sera ya ufisadi inarudi Mrsa ni
 
Ana interest nyingi CCM, mategemeo ya kuwa mtawala yalimhakikishia usalama wa biashara zake. Kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa biashara zake haziko salama.
 
Mpangawangu umenena. Hakika Lowassa hajakurupuka kufikia uamuzi huu na hakutaka pia kuutumi uamuzi wake kuumiza upinzani. Nadhani tafsiri ya hili alilolifanya ni kustaafu siasa. Na bila shaka hii ni kazi aliyopewa Rostam Aziz alipokwenda Ikulu. Kama ilivyokuwa kwa Dr. Slaa sidhani kama atapata kejeli zozote kutoka cdm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…