Hah hah Chadema wamebanwa makende na chorus yao na waimbe sasa Lowasa fisadi halaf,sijui Watanzania ndio tuwajue hawa Chadema kama ni wahuni.Ndege tunduni huyooooNgoja nianzishe Mimi chorus kwa chadema
LOWASSA NI FISADI
haya chadema twendeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpikieni uji mgonjwaYaani mlipokuw naye hukuweza kuyatanabaisha mapungufu hayo ya maradhi mpaka alipoondoka kweli?!!!..........
Sky, mimi sioni tatizo kwa mzee Lowasa kurudi kwao. Kwa namna siasa zilivyo kwa sasa lazima huyu mzee angerudi . Huku Kenya walishazoea hali hii wanasaisa wa huku wanahama kila siku. Tatizo la huko nyumbani ni kuwa chuki zimezidi ndio maana mtu akihama watu wanashangaa.Family First
Lowassa siyo Waziri Mkuu Mstaafu,sema ni Waziri Mkuu wa zamaniWaziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rais Magufuli, Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, Humphrey Polepole n.k
Habari zaidi...
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa amerejea Chama cha Mapinduzi (CCM) Ijumaa, nchini Tanzania. Lowassa alikuwa mgombea wa kinyang’anyiro cha urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na vyama vinavyounda umoja wa UKAWA katika Uchaguzi mkuu 2015.
Kurejea kwa Lowassa kulikuwa kukitabiriwa na baadhi ya watu, lakini mara kadhaa Lowassa alikanusha kuwa anampango wa kurudi katika chama hicho.
Vyanzo vya habari vinasema hatua hiyo imewashitua watu wengi, kwa sababu ya kile ambacho kilisababisha yeye kuhama chama hicho.
Lowassa baada ya kuitumikia CCM kwa kipindi kirefu alikihama chama cha hicho kufuatia mvutano uliotokea baada ya kutoidhinishwa na chama hicho kuwa mgombea wa urais.
Sherehe za mapokezi yake wakati akirejea rasmi Ijumaa zilifanyika katika ofisi ndogo ya CCM iliyoko Lumumba Dar es Salaam na kupokelewa na Mwenyekiti wa chama hicho John Magufuli.
Lowassa mara kadhaa amefanya mazungumzo na Rais John Magufuli, Ikulu ya Tanzania.
Kumekuwa na wimbi la wanachama wa upinzani kuingia CCM tangu Magufuli achaguliwe 2015, kitu ambacho kimekuwa kikizungumziwa katika duru za siasa kwamba kinadhoofisha upinzani.
View attachment 1035375
View attachment 1035459
View attachment 1035448
Unaweza soma pia:
Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums
Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums
Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums
Kama nakuona vile unajikakamua bila kupenda kusema hivyo.Aliikuta Chadema na ameiacha
Ndiyo kitu cha kwanza kilicho click kichwani kwangu mara baada ya kupata hii habari though politicians are natural spin masters, hawezi kukosa cha kusema kulingana na upepo wa kisiasa unavyovuma kwa sasa.
Kasindikizwa na rostam azizi nasikiaKaja mwenyewe tu au na nani
Dah, watu mnajua kusogeza magoli.Chadema walishamtakasa lowassa hadi list of shame waliifuta ....CCM wamemrejesha baada ya utakaso.
Huu ni mwezi wa kwaresma
Ana interest nyingi CCM, mategemeo ya kuwa mtawala yalimhakikishia usalama wa biashara zake. Kwa hali ya kisiasa ilivyo sasa biashara zake haziko salama.Sky, mimi sioni tatizo kwa mzee Lowasa kurudi kwao. Kwa namna siasa zilivyo kwa sasa lazima huyu mzee angerudi . Huku Kenya walishazoea hali hii wanasaisa wa huku wanahama kila siku. Tatizo la huko nyumbani ni kuwa chuki zimezidi ndio maana mtu akihama watu wanashangaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Share za vodacom zitapanda bei kwa kasi sokoni kwenye soko la hisaKasindikizwa na rostam azizi nasikia