Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Wapinzani wapo.hivi ulikuwa unaamini lowasa ni mpinzani?JPM aongezewe Muda wa kutawala hadi watakapopatikana wapinzani nchini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapinzani wapo.hivi ulikuwa unaamini lowasa ni mpinzani?JPM aongezewe Muda wa kutawala hadi watakapopatikana wapinzani nchini.
Siasa ni unafiki sanaHapo do nasubiri kama slaa,atahama ccm au vp,aliyemkimbia kamfuata aliko
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha upumbavu unadhani uchumi ni sawa na mapilau ya kwenye mikutano ya ccm?Share za vodacom zitapanda bei kwa kasi sokoni
Duh una number ya msukuma!Mpikieni uji mgonjwa
Arudi wakati huyo slaa ashapewa ugali wake wa ubaloziSasa nadhani rafiki yangu nayemuheshimu Dr Slaa atarudi CHADEMA,maana asiyempenda kaja.
1. Karudi baba mmoja,Wana nd
tulikuwa tukifunga na kuomba fisadi kuu liondoke ajiunge na alikozaliwa. Mungu katujalia ameondoka kajiunga na RA kubwa lao. Sasa ni wakati wa kumweleza Sumaye na wengine waondoke na Freeman Mbowe muuza chama. Zitto arudi cdm aongeze nguvu upinzani. Lisu tayari kashapata njia nyeupe kumkabili JP. Mbowe umefanya mengi tunakushru sana kwa ili la lowasa kwa kweli ulituumiza sana. Hata Dr. SLAA ANAWEZA KURUDI SASA na John kapata raha kwani sera ya ufisadi inarudi Mrsa ni
Huu utakuwa muujiza yule Dr kurudi ChademaSasa nadhani rafiki yangu nayemuheshimu Dr Slaa atarudi CHADEMA,maana asiyempenda kaja.
Nimependa hiyo aliposema, nanukuu, "amerudi nyumbani"...sikuwahi kumsikia akiita Chadema nyumbani. Nadhani kwa kauli hiyo na ile ya wana CCM waliomwimbia Kikwete kwamba wana imani na Lowassa akiwemo Waziri Mkuu Majaliwa, Guninita, Sophia Simba n.k. inajibu maswali kadhaa.EL ndiye mshindi! CCM na CDM wote ni aibu tu....kwa walio timamu. Hakuna mwenye afadhali. Tena anasema "amerudi nyumbani"....na CCM top brass yote inampigia makofi! Aibu sana. Kama ilivyokuwa kwa CDM mwaka 2015. Ngoja tuone sasa "sifa" atakazo mwagiwa na ccm ma "kashfa" atakazomwagiwa na CDM!.
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rais Magufuli, Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, Humphrey Polepole n.k
Habari zaidi...
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa amerejea Chama cha Mapinduzi (CCM) Ijumaa, nchini Tanzania. Lowassa alikuwa mgombea wa kinyang’anyiro cha urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na vyama vinavyounda umoja wa UKAWA katika Uchaguzi mkuu 2015.
Kurejea kwa Lowassa kulikuwa kukitabiriwa na baadhi ya watu, lakini mara kadhaa Lowassa alikanusha kuwa anampango wa kurudi katika chama hicho.
Vyanzo vya habari vinasema hatua hiyo imewashitua watu wengi, kwa sababu ya kile ambacho kilisababisha yeye kuhama chama hicho.
Lowassa baada ya kuitumikia CCM kwa kipindi kirefu alikihama chama cha hicho kufuatia mvutano uliotokea baada ya kutoidhinishwa na chama hicho kuwa mgombea wa urais.
Sherehe za mapokezi yake wakati akirejea rasmi Ijumaa zilifanyika katika ofisi ndogo ya CCM iliyoko Lumumba Dar es Salaam na kupokelewa na Mwenyekiti wa chama hicho John Magufuli.
Lowassa mara kadhaa amefanya mazungumzo na Rais John Magufuli, Ikulu ya Tanzania.
Kumekuwa na wimbi la wanachama wa upinzani kuingia CCM tangu Magufuli achaguliwe 2015, kitu ambacho kimekuwa kikizungumziwa katika duru za siasa kwamba kinadhoofisha upinzani.
View attachment 1035375
View attachment 1035459
View attachment 1035448
Unaweza soma pia:
Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums
Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums
Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums
Mbowe, lissu, msigwa, lema, sugu, mdee ni watu wabaya sana.Nimefurahi sana, tubaki makamanda halisi na wapinzani halisi.
Tunaanza upyaNi jambo jema mzee wa watu aende kusafishwa na matusi yote aliyotukanwa na CCM kuwa alijinyea stand ya chato, ni lofa na mpumbavu, fisadi aliyekimbilia CHADEMA.