The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,275
Hapana. Lowasa alipata support wakati wa uchaguzi tu. Baada ya hapo, he is a liability. Alikuwa anavumiliwa tu ndani ya chama. Na yeye anajua hivyo.Watu wa Mungu habari zenu..
Tetesi za ndani za CDM ni maumivu makali baada ya Mh Lowassa kurudi nyumbani kumenoga..!! Yaani ni sawa kuvunjika kwa uti wa mgongo, haiwezi tena kujitutumua hata kidogo kisiasa..!! Poleeeeni..!
CCM haishindwi chochote huwa nasema hivi kila mara.. Sasa mmeona na kudhibitisha..! Chezea kitu kingine sio CCM..!! CHADEMA leo bado wako ktk maruweruwe hawajui nini kimetokea, hawaamini bado..!! Siasa mchezo mchafu sana..!! 😜😂😂
Bado MboweWaziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rais Magufuli, Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, Humphrey Polepole n.k
Habari zaidi...
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa amerejea Chama cha Mapinduzi (CCM) Ijumaa, nchini Tanzania. Lowassa alikuwa mgombea wa kinyang’anyiro cha urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na vyama vinavyounda umoja wa UKAWA katika Uchaguzi mkuu 2015.
Kurejea kwa Lowassa kulikuwa kukitabiriwa na baadhi ya watu, lakini mara kadhaa Lowassa alikanusha kuwa anampango wa kurudi katika chama hicho.
Vyanzo vya habari vinasema hatua hiyo imewashitua watu wengi, kwa sababu ya kile ambacho kilisababisha yeye kuhama chama hicho.
Lowassa baada ya kuitumikia CCM kwa kipindi kirefu alikihama chama cha hicho kufuatia mvutano uliotokea baada ya kutoidhinishwa na chama hicho kuwa mgombea wa urais.
Sherehe za mapokezi yake wakati akirejea rasmi Ijumaa zilifanyika katika ofisi ndogo ya CCM iliyoko Lumumba Dar es Salaam na kupokelewa na Mwenyekiti wa chama hicho John Magufuli.
Lowassa mara kadhaa amefanya mazungumzo na Rais John Magufuli, Ikulu ya Tanzania.
Kumekuwa na wimbi la wanachama wa upinzani kuingia CCM tangu Magufuli achaguliwe 2015, kitu ambacho kimekuwa kikizungumziwa katika duru za siasa kwamba kinadhoofisha upinzani.
View attachment 1035375
View attachment 1035459
View attachment 1035448
Unaweza soma pia:
Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums
Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums
Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums
Rudi nyumbani kumenoga
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nimeshabadili ID kama mara tatu msalimie sana Eli79 karibu sanaAsante sana, jamani mwandiko nimeuelewa ila ID imeniacha njia panda,rudi nyumbani na ileeeeeee Id hahahaha!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mboweHakuna mwanasiasa yeyote aliye mzalendo,wote ni wapigania matumbo tuuu,
Haha wanafunzi mliwandaa saa ngapi aagh! Siasa bongo Bora muuza bangi na mirungi kuliko siasa za ccmMzee kaamua kurudi nyumbani, kaona alipohamia ni uhuni tuuView attachment 1035352
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiempenda kaja.Kwa mujibu wa mzee slaaa lowasa ni Sawa na choooo cha kiafrika.sasa tone atafanyaje ikiwa choooo kimemfuata aliko
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Lowasa alipata support wakati wa uchaguzi tu. Baada ya hapo, he is a liability. Alikuwa anavumiliwa tu ndani ya chama. Na yeye anajua hivyo.
Lowassa kwenda Chadema HAKUWA na agenda yoyote zaidi ya kutapatapa baada ya kuondolewa jina lake kwenye kinyang'anyiro cha CCM. Alikuwa anabahatisha bahati yake upinzani baada ya milango ya CCM kufungwa. Kwa sasa ameona umri umeenda na hakuna uwezekano wa kufanikiwa ndiyo maana anarudi CCM ambako nako hatakuwa active!Very well comrade lowassa. Niliwaonya chadema. Wakati wa uchaguzi.. lakin hawakusikia.
Mbowe aliuza gem.. na picha ilikuwa ikionekana waz kuwa kaja kufanya nn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushalipwa bk7? Waisha home basi.Watu wa Mungu habari zenu..
Tetesi za ndani za CDM ni maumivu makali baada ya Mh Lowassa kurudi nyumbani kumenoga..!! Yaani ni sawa kuvunjika kwa uti wa mgongo, haiwezi tena kujitutumua hata kidogo kisiasa..!! Poleeeeni..!
CCM haishindwi chochote huwa nasema hivi kila mara.. Sasa mmeona na kudhibitisha..! Chezea kitu kingine sio CCM..!! CHADEMA leo bado wako ktk maruweruwe hawajui nini kimetokea, hawaamini bado..!! Siasa mchezo mchafu sana..!! [emoji12][emoji23][emoji23]
Asante sana,sijamuona miaka laki hope kaona salam[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nimeshabadili ID kama mara tatu msalimie sana Eli79 karibu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliisubiri hii Siku kwa hamu kuwaona kina maalim seifu na mbowe wakiumbuka. Lipumba roho ilimsuta aliona mbali. Hence proved prof ni prof tu