Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,801
- 6,806
Habari yako mama yangu umepotea sana karibuNa iwe hivyo, Mungu awalinde hao watumishi wake wasiopiga goti kwa Baali
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari yako mama yangu umepotea sana karibuNa iwe hivyo, Mungu awalinde hao watumishi wake wasiopiga goti kwa Baali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa...... Kwani hapo Ufipa anapata nini?Yaani CCM impige risasi 38 aka survive halafu tena arudi ccm.unadhani atakuwa so mzima kichwani
Aisee ! Leo yamekua hayo? Jana alikua na impact leo hana? Pole sanaHANA IMPACT ARUDI TU HANA ISSUE
Yote yatasemwa, but the bottomline ni kuwa the mission by Lowasa for CDM was a success. CDM isingelipata wabunge wengi kama ilio nao, madiwani etc!
Kweli kabisaMzee kaamua kurudi nyumbani, kaona alipohamia ni uhuni tuuView attachment 1035352
Sent using Jamii Forums mobile app
Lilijinyea na bado tukampigania leo ndio linafanya ujinga huu na Mungu amlaani yeye na familia yake
Chadomo ndio haieleweki , ndio maana mzee wa watu kaamua kurudi nyumbani , home sweet homeHii nchi uelekeo wake haueleweki aisee!
Asante sana, jamani mwandiko nimeuelewa ila ID imeniacha njia panda,rudi nyumbani na ileeeeeee Id hahahaha!!!!
Umesema vyema mkuu hata.huku cuf inaonekana lipumba hana mana kisa kakataa kufanya kz na lowasa akisema nafsi inamsuta leo yako wapiLeo nitakesha kwenye bar kwa furaha ya Lowassa kuondoka cdm. Alaaniwe Mbowe na genge lake kupokea hela ya Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea urais.