Cheers Makamanda, Yeah guys today am happy....!!
Daaah we mzee ulijua kutununisha Makamanda, ulijua tuzip midomo na mikono kama wafungwa kwenye gereza letu wenyewe. Hakika tunakushukuru Mungu kwa kutuondolea mtu huyu kwa hiyari yake mwenyewe..!!
Uamuzi alioufanya mzee huyu unafaida kubwa kwa Chadema kuliko kwa ccm. Mzee ndani ya chama alikuwa mwenyewe na Mbowe tu. Kina Mnyika walikuwa wakimuangalia wanaishiwa morali ya kupaza sauti. Lissu ndo kabisaa... hataki hata kumsikia mzee huyu. Wapo viongozi wengi tu ambao walikuwapo Cdm kwa kusukumwa tu kwasababu kwa namna yoyote wasingeweza kwenda ccm. Sasa kuondoka mzee huyu kutawarudisha makamanda hawa kwenye mstari.
Hii inamaana gani.., Mzee ameondoka Mwenyekiti wake akiwa Mahabusu kwa Miezi mitatu..!! Mwanasheria mkuu wa chama ambacho yeye alikuwa mjumbe wa cc akiwa Ubelgiji akiuguza madonda ya kunusurika kuuwawa kwa risasi kedekede, Wabunge kadhaa wakiwa wametapakaa mahabusu mbalimbali kwa kesi hizi na zile.... What a selfish man I ever seen...!!
Ma Comrade Commenders all over the world tembeeni kifua mbele.. Now Cdm asili is back. Mbowe wewe ndiwe Mbowe na juu ya mwamba huu imejengwa na kusimikwa Cdm.. siyo siri ulituumiza makamanda wengi kwa kumpokea bwana huyu..!! Ila tusemeje sasa...
MAJUTO NI MJUKUU... TOKA JELA COMMANDER CDM IKO MLANGONI INAKUSUBIRI TUNAJUA KUWA HURUDII MAKOSA KAMA HAYA BALI UTAYAFANYA TOFALI LA KUJENGA NGUZO IMARA KWENYE GHOROFA HILI LA CHADEMA
Makamanda wote mliopo boda tuonane kesho Valentine tugonge vyombo kusindikizia furaha hii..!! Makamanda Dar semeni tuonane wapi Jumapili... Mimi mgeni wenu tafadhali..!!
BAAAAAAAACK TANGANYIKA
Sent using
Jamii Forums mobile app