Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama


Akafanye nini chadema? While ccm ndio nyumbani kwake
 
Ni muda mzuri kwa upinzani kustaw sasa EL alikuwa akiwatesa sana na kuua vipaj kama wakina Mnyika sasa tutegemee kuona wakina Mnyika wale wa zamani hakika patakuwa patamu sasa.
 
Ilikuwa ni swala la muda tu kabla hili halijatimia, ni wakat wa upinzani kunitafakari na kufukuza vibaraka wote nje ya chama. Waanze upya, Lissu na Zitto ni hazina kubwa iliyobakia upinzani zitumiwe vyema.
You'll be shocked, Zitto? Endeleeni kuwaamini wanasiasa...
 
Nidhani hakuna sababu ya huyu Jamaa kuongelewa sana. Itoshe fanyeni kama hakikutokea kitu chochote.
Tafuteni habari ingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Slaa hawezi kurudi kutokan na kiapo kikali na cha kikatili cha ubalozi, kuwa Balozi katika nchi yoyote ni sawa na kusaini mkataba wa kuzimu.
 
Sio vyema kumsema vibaya EL. Kwa wengi wenu ni Baba au Babu. Hivyo kusema lolote kinyume naye ni dhambi mbele za Mungu. Anajua yeye anachokifanya ila kwa kweli namhurumia. Kuliko nirudi ccm hiyo iliyonitukana hivyo, ningelijinyamazia tu ningojee mauti yangu.
 
Fisadi gamba laamua kurudi kwa magamba wenzie ili nalo likaibe tena maana mlango wa hazina uko wazi kabisa. Kwa wanasiasa Malaya/changudoa kama hawa wanaojali matumbo yao Watanzania tutayasubiri sana maendeleo ya kweli.
Kaona sasa kuiba haz8na ni rahisi zaidi
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…