Walipokutana Mwembe Yanga tarehe 15 Septemba, 2007 wakiwa na orodha ya mafisadi papa nchini akiwamo waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa, wapinzani walisahau kitu kimoja au viwili. Kwanza, walikuwa wanaandaa kifo cha Lowassa kisiasa ndani ya CCM na Tanzania. Pili, walikuwa wamemtendea kosa ambalo asingeweza kulisahau maishani mwake bila kulipiza kisasi. Kwa wataalamu wa mambo, tulijua fika kuwa Lowassa alipojiunga na upinzani alisukumwa na sababu kuu tatu yaani:
Mosi, hasira baada ya kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea urais.
Pili, imani kuwa angeweza lau kushinda kupitia upinzani hata kushindwa bila kupoteza lolote zaidi ya upinzani.
Tatu, alitaka kulipiza kisasa kwa namna upinzani ulivyombomoa na kumtangaza kuliko mafisadi wengine uliotaja.
Tatu, alitaka kuukomesha upinzani na kujijengea nafasi maalumu kwa CCM ambayo, nayo bila shaka, ilijua kuwa alichokuwa akifanya kada wake huu kingeisaidia kwenye uchaguzi husika. Sababu ziko nyingi. Ila hizi tatu ndizo zingemfanya mchambuzi yeyote mahiri kutabiri kurejea tena kwa Lowassa CCM siku moja kama ambayo amefanya leo. Kimsingi, kama kuna aliyeuua upinzani si mwingine bali aliyeushauri kumpokea Lowassa.
Sasa Lowassa ametimiza malengo yake yote. Kuna haja gani ya kubakia upinzani? Kujua tulivyoliona hili tangu siku ya kwanza, SOMA LINK HIIhttps://mpayukaji.blogspot.com/2015/11/when-bongo-politics-became-nastily.html
Selflessness is a venue of a few but greed is the sanctuary for many-Nkwazi Mhango Sr.
Leo limekuwa gamba, hahahahahaha uwiiii!
Wew
ni sawa na Lowassa mnapenda kuwa penye mteremko, ndio maana watz wataiacha ccm madarakani mpaka kizazi chenye akili kizaliwe.
Ule msemo wa " everything in politics is being engineered" utajidhihirisha very soon.
Naona the mastermind are back!
Mchezo upo dakika ya 40 now..
ccm wote n vpofu, hakuna mwenye uwezo wa kumwambia mkulu kuwa ww hawakupend ishia awam moja, na kwa utu wa madaraka, jiwe hawez kukubali kuachia ngaziHuo ndio mkakati unaoenda kufanywa now na Team Lowassa as perfect as Lowassa anapambana kuweka heshima yake pale pale juu.
Aidha:
1. Njia ya diplomasia itumike Magufuli aishie awamu moja tu, ama
2. Lowassa wakishirikiana vizuri na Rostam Aziz wakafanya wafanyalo CCM imteme Magufuli 2020.
Ukweli:
Lowassa anawajua na ana mashabiki zaidi wa CCM kuliko Magufuli. Pia, Magufuli kawaumiza zaidi wana CCM kuliko hata wapinzani.
Kama, Lowassa akashindwa kupenya 2020, basi kwa ushirikiano na The King Maker #Rostam Aziz wanaweza kumweka mtu wao ama 2020 au 2025 na kuendelea.
Nimemaliza.
Siasa ni ujasiriamali kama ilivyo ujasiriamali mwingine.
The battle is on, if you can't fight them join them and fight within them!
Hamna namna, be strong.Sijui ht nizeeke km nitSahau hili tukio jaman khaa!anywsy lets be strong "mualimu"
Mwambie kwanza mwemyekiti wao wa ccm taifa kuwa ccm imemshinda kwa kukabidhi chama wehu kama akina msibaWana nd
tulikuwa tukifunga na kuomba fisadi kuu liondoke ajiunge na alikozaliwa. Mungu katujalia ameondoka kajiunga na RA kubwa lao. Sasa ni wakati wa kumweleza Sumaye na wengine waondoke na Freeman Mbowe muuza chama. Zitto arudi cdm aongeze nguvu upinzani. Lisu tayari kashapata njia nyeupe kumkabili JP. Mbowe umefanya mengi tunakushru sana kwa ili la lowasa kwa kweli ulituumiza sana. Hata Dr. SLAA ANAWEZA KURUDI SASA na John kapata raha kwani sera ya ufisadi inarudi Mrsa ni
Mungu mbariki Lowassa. Ha ha ha.We unaumwa nini?? Tandahimba hakuna ufipa. Sisi tuko cdm hata mtuue wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Na vipi kuhusu CcmUkaungane na watu wasio na msimamo? Si unaona leo wanavyomtukana Lowasa? Chadema wanaishi kadri upepo unavyovuma!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnahitaji nguvu gani wakati polisi na Tume ipo mifukoni mwenu.Lowassa karudi CCM kabla ya Lowassa Mwenyewe kujua Kuwa karudi CCM
Lowassa karudi CCM Siku Rostam alipokaribishwa Chai Ikulu Na Mzee Baba
Nguvu ya Rais Magufuli Kwenye Uchaguzi wa 2020 panapo uhai haimithiliki!
Kushoto Jk, kulia Rostam, Pemben Ngoyai
Hahahahaha
Haaminiwi na kina nani Wewe na familia yako au?