Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Baada ya yote yaliyotokea, la msingi ni vyama vya upinzani kujitafakari, kujenga mshikamano kwa wale watakao baki ili kuwe na upinzani imara Tanzania. Kwa hili la Lowasa kuna ambao tulijiuliza huyu mheshimiwa ana simamia nini kitu gani hapo CDM, hadi leo sijapata jibu. Ni wakati wa CDM na washirika wake kujibrand upya kwa maneno na vitendo zidi ya Lichamadola. MUNGU WETU HAJA WAHI KUSHINDWA.
 
Rudi nyumbani kumenogaaaa
 
Kwani Membe akiwa RAIS we unaumia nn mbona una chuki kama amekuchukulia bwana ako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ😎
 
Lowasa, Magufuli na "upotevu" wa trillion zetu ndio CCM hiyo, chama cha MAFISADI PAPA
 
Nadhani Mh. JPM ameshtukia kuhusu possibility ya Lowassa kuungana na Membe upinzani ingekuwa hatariiiiiiii sana kwa CCM, hivyo akamuwahi kumrudisha home kw gharama yoyote ile..!!
Kwa hiyo unafikiri lowassa amenunuliwa? Mnajidanganya hadi mnaamini uongo wenu..ndio yule chizi lissu akamwambia steve sacker wa hardtalk eti wabunge wao wananunuliwa na ccm akidhani anaisema ccm kumbe anakidhalilisha chama chake. Wabunge gani wananunuliwa au wanajiuza kama bidhaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…