Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Mimi nilimkataa Lowassa toka siku Chadema walipompa cheo kikubwa kuliko wenye chama
This is what happened...... hahah thinking loud
Kesi ya Mbowe na Matiko jana **maagizo toka naniliiii
Rudi sisiem nitawaachia wafungwa wa kisiasa
Ukirudi wananchi watanipigia kura kwa wingi wengi wanakupenda (kura zitaongezeka 2020- akili ya kifisi)
Ukiulizwa utawaambia bila mimi Mbowe angeozea jela
Nitakuteua uwe ** Katibu mwenezi wa chama ukazoe kura vijijini
Kesi zoooote za Richmond Esscrow IPTL Koro-Show zitatoweka
Nitakusafisha kwa dodoki la chuma
Nitakulinda na kukutunza
Kwa niaba ya awamu ya tatu nne na tano wote mpo swalama

**Hizi ndio ahadi lukuki
Movie inaendelea kuna mtu atateleza kwenye ganda la ndizi na movie itakuwa imeishia hapo
Tutapata Tz mpya....

Nani mjinga hapa? Nauliza
Well kulikuwa na mvutano pia ndani ya chama, si wote waliokubali siasa zake. Kupendwa kwa Lowasa vijijini ilikuwa ni enzi zile kila kitabu na zama zake. Tundu Lissu ndiyo habari ya leo mjini na vijijini.
 
Uko vizuri na yule mkwewe fisadi Lowassa Sioi Sumari kuachiwa huru na kufutiwa kesi yake na akina Kitilya former TRA commissioner ya usafishaji wa pesa za kifisadi bilioni 6 kama sikosei na walikuwa rumande tangu 2016.

Mimi nilimkataa Lowassa toka siku Chadema walipompa cheo kikubwa kuliko wenye chama
This is what happened...... hahah thinking loud
Kesi ya Mbowe na Matiko jana **maagizo toka naniliiii
Rudi sisiem nitawaachia wafungwa wa kisiasa
Ukirudi wananchi watanipigia kura kwa wingi wengi wanakupenda (kura zitaongezeka 2020- akili ya kifisi)
Ukiulizwa utawaambia bila mimi Mbowe angeozea jela
Nitakuteua uwe ** Katibu mwenezi wa chama ukazoe kura vijijini
Kesi zoooote za Richmond Esscrow IPTL Koro-Show zitatoweka
Nitakusafisha kwa dodoki la chuma
Nitakulinda na kukutunza
Kwa niaba ya awamu ya tatu nne na tano wote mpo swalama

**Hizi ndio ahadi lukuki
Movie inaendelea kuna mtu atateleza kwenye ganda la ndizi na movie itakuwa imeishia hapo
Tutapata Tz mpya....

Nani mjinga hapa? Nauliza
 
View attachment 1035662
Hawa walioko kwenye picha ni watu makini sana katika siasa za Tanzania. Picha hii inaonekana wakati tumebakiza takriban mwaka mmoja na nusu kuingia kwenye uchaguzi mkuu.

Jana balozi wa Uingereza alitoa neno kuhusu kufungiwa kwa gazeti la The Citizen. Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza aliongezea kuwa katika mkutano wa waandishi wa habari utakaofanyika Canada wataliongelea swala la uhuru wa habari Tanzania.

Wakati huohuo Tundu Lissu ameieleza duniawkuhusu shambulio lake la kupigwa risasi 38 akiwa katika mapumziko ya mchana bungeni. Alieleza piawjukosekana kwa ulinzi wakati wa shambulio, kunyimwa stahiki yake ya matibabu, na ku pia kusimamishiwa mshahara wake wa ubunge. Na aliekeza waziwazi nia yake ya kugombea u raisi 2020 kwa tiketi ya CHADEMA.

Kule kusini kwa yakiyotokea baada ya sakata la korosho. CCM inahitaji nguvu ya ziada kupata kura.

Ninavyoona rais amaeamua kuunganisha hekima za watu makini katika kukabiliana na changamoto za sasa kuelekea uchaguzi 2020.
Ni mawazo yako na tunayaheshimu lkn 2020 hakuna uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie ni katika wale tuliomkataa huyu fisadi. Halafu hana hata shukrani kwa aliyemkarisha kasepa huku Mbowe akiendelea kusota Segerea! Kweli shukrani ya punda ni mateke.

Best lakini Lowasa alituaga? Alipoingia tulimkaribisha sasa dharau gani hii ametufanyia.
 
BoT is trying its level best to stabilize the shilling but it is very costly to taxpayers.
Best ukiwa na account ya foreign currency kwasasa ni kosa la jinai. Zinamezwa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Well kulikuwa na mvutano pia ndani ya chama, si wote waliokubali siasa zake. Kupendwa kwa Lowasa vijijini ilikuwa ni enzi zile kila kitabu na zama zake. Tundu Lissu ndiyo habari ya leo mjini na vijijini.
Hahahhh ndio maana nimesema hizi ni akili za kifisi thinking huko atapata ufalme
Sisiem watatoana macho kama si masikio
* Ni wakati wa Chadema kuzaliwa upya

Amechukizwa na kusikia TL yupo tayari kuchukua form
Subiri timbwilitimbwili la lumumba (ganda la ndizi linamsubiri mtu)
 
Kwa ufupi ni wakati wa wananchi kutambua wanaokula keki ya Taifa ni wachache

TUAMKE
NI WAKATI WA KUWAKATAA WATU KAMA HAWA UWE CCM AU CHADEMA ACT CUF TUWAKATAE WATU WA NAMNA HII.
UMOJA WETU NDIO SILAHA
UTENGANO WETU MATOKEO YAKE NI HAYA
 
Lipumba Huyu huyu au unasemea yupi?
Mdanganyika endelea kuwaamini wanaokulisha matango poli. Mwanasiasa anayesimamia upinzani wa kweli ni prof peke yake hajawahi kuwa mnafiki. Propaganda zenu ndio zimepunguza nguvu ya CUF ASILIA lakini ukweli ndio utakaoshinda na ndio kinachotokea. Sasa hivi utasikia mbowe na maalim wanaunga juhudi.......
 
Heeee kumbe kweli Mh aliuza chama kwa Lowasa?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.

Unauliza hirizi Tanga?
 
Wa kuokoa ccm isife 2020 ni Lowasa au Membe, nje ya hapo wasahau hii ccm mpya haiuziki kabisa si mjini wala kijijini, wakicheza kusini hawapati kura hata moja korosho ndio maisha ya kusini,Kanda ya ziwa hawapati wamewachomea wavuvi nyavu zao,Kanda ya ziwa Samaki ndio maisha, MBEYA ,IRINGA, Kanda ya kaskazini, Kigoma singida hawataki hata kusikia wamezuiwa kuuza mazao yao nje yameoza Mashambani.ccm wafanye Kazi kubwa sana kurudisha imani kwa wananchi. Isipokufa 2020 haitokufa tena
 
Hahahhh ndio maana nimesema hizi ni akili za kifisi thinking huko atapata ufalme
Sisiem watatoana macho kama si masikio
* Ni wakati wa Chadema kuzaliwa upya

Amechukizwa na kusikia TL yupo tayari kuchukua form
Subiri timbwilitimbwili la lumumba (ganda la ndizi linamsubiri mtu)

Timbwili si LA kitoto watagawana fito we subiria 2020.kati ya wafia chama na wafia tumbo,ccm Asili wasugua bench na ccm mpya ccm makinikia,tusubirie vita vya panzi.
 
The best option was to retire with honour from politics instead of going back . shame
Exactly, angelitangaza kuacha siasa na kupumzika. Sidhani kama kitendo cha jana kinamsaidia to achieve anything, labda kama ni issue ya Mkwe wake SIOI SUMARI, then this cam make some sense!
Ameandika historia ya watu wa hovyo katika siasa za Tanzania
 
Bwana kakobe aliwahi kusema kwamba hajawahi kuonana na mgombea wa ukawa. Nadhani sasa wataweza kuonana vizuri.

Dr slaa alisema hawezi kaa meza moja na waliyemchafua itabidi ahame tena ccm aende kwa Rungwe au updp
 
Mimi CCM nikupongeze kwa msimamo wako chadema ni kweli post zako zote Pamoja na kuwa chadema ulikuwa humtaki hujawahi mkubali.Nikupongeze kwa kuwa na msimamo uwe sahihi au la unakomaa tu .Kwa hili mwanachadema wewe nakupongeza.Wanaokutukana humu waangalie post zako haujawahi mkubali Lowassa.Ni haki yako kukubali au kukataa mtu hata kama Mbowe hakukusikiliza.

Cc:Kenna
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Msukuma bashite kibajaji sijui wana hali gani huko waliomdhihaki karudi home
 
Back
Top Bottom