Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Alikuwa fisadi na hatokaa abadilike, na kurudi kwake ccm ni kwakuwa aliona hayuko sehemu sahihi ambapo mafisadi wanatembea vifua mbele.
Hayo maneno mngeyasema pale mlipokua mnamnadi kugombea urais , mkampa kura milioni sita , mngesema" tumemleta fisadi kugombea uraisi " halafu saizi uje ukazie hapa hayo maneno yako , vinginevyo acha uzushi.
 
We Sky Eclat haya ya kweli au Asprini kakudanganya. Imetokea saa ngapi au niliishalala?

Yote sawa mimi naona watafta fursa siyo masikini peke yao hata matajiri wanaogopa mali zao zisitaifishwe. MO anaweza kuwa ni shahidi mzuri ma Manji. Nyerere alikuwa na kili kufutilia mbali vyama. Turudi tulikokuwa ili wapate wanachama hasa siyo wachumia tumbo.
 
Jamaa amesharudi full stop.

Hapa mapacha walishindwa kumsaidia mwenzao Lowassa kupata urasi ije kua leo?

No way.

Subirini uone mchezo hao wako mjini kitambo.Hawajaja wakubwa.Me nimefurahi Mzee kurudi home Mungu na atende kadri ya matakwa ya wengi. Mungu alitupa tulichokiomba tumejifunza nasi tunazidi kuomba amesikia kilio chetu atatenda kadri ya maombi ya wengi.
 
Sisi tumesema sna humu, hasa kwenye nyuzi za Paschal Mayalla, Dr. Slaa alikuwa sahihi japo alibezwa lkn kwa hapa upinzani walikosea japo kuteleza sio kuanguka basi waanze upya na Wanaye mtu wa kuwavusha.
Wapo washika pembe wakina BAK , tindo ns wengineo mbona hawakuyasema , leo kabwaga manyanga ndio tunasikia filimbi za akina BAK , kweeli nimecheka sanaaa😂😂😂😋
 
We Sky Eclat haya ya kweli au Asprini kakudanganya. Imetokea saa ngapi au niliishalala?

Yote sawa mimi naona watafta fursa siyo masikini peke yao hata matajiri wanaogopa mali zao zisitaifishwe. MO anaweza kuwa ni shahidi mzuri ma Manji. Nyerere alikuwa na kili kufutilia mbali vyama. Turudi tulikokuwa ili wapate wanachama hasa siyo wachumia tumbo.
Hujui shost kuwa Lowasa ni mwana CCM kuanzia March 1, 2019
 
Aende, tunamshukuru kwa kututengenezea upepo wa kimbunga ulio wazoa akina mwanry, anna kilango, Arfi wa mpanda, madabida, Idd Azan, yule mama wa kibamba aliyewahi kuwa naibu waziri, zungu aliponea chupuchupu kupeperushwa na huo upepo

Je kimbunga sasa kitageuzia upande wa pili 2020?

Hili ndilo swali ambalo lingekuwa linawasumbua sana CHADEMA wakati huu. Jinsi ya kuzuia 'kimbunga' hiki kisiwazoe wote na kuwatupilia baharini.

Sijui "Tufani" itatengenezwa vipi wakati ukiangalia kila kona wenye 'Kimbunga' wameikaba! Huku 'Polisi', huku 'wasimamizi wa uchaguzi'; huku vitisho vya mwenye vifaa vyote vya ukandamizi, na sasa tunaona hatua za wazi za kuisuka idara ya 'mafuta ya kulainisha' nayo ikishughulikiwa kwa dhati ili iwe tayari kulainisha sehemu zenye kutu wakati mwafaka!

Wapinzani waliopo sasa kazi pevu inawasubiri. Hii haitakuwa kazi ndogo.

Kama wapo watakaopenya safari hii, hao watakuwa ni watu wa kutazamwa kwa heshima zote zinazostahili.

Ni jukumu langu, kwa faida ya Tanzania yetu kuwatia moyo. Nikiangalia Tanzania ya Magufuli na Bunge la asili mia tisini na tisa, inaumiza sana!
 
Kikundi cha watu wachache cha majizi, mafisadi na wahuni ambacho kimetuingizia Watanzania hasara kubwa sana ya trillions kuanzia 1985 hadi hii leo na kusababisha nchi kubaki nyuma kimaendeleo kwenye mambo mengi muhimu ikiwemo elimu, afya, usafiri, kilimo, ajira, biashara n.k.

View attachment 1035662
Hawa walioko kwenye picha ni watu makini sana katika siasa za Tanzania. Picha hii inaonekana wakati tumebakiza takriban mwaka mmoja na nusu kuingia kwenye uchaguzi mkuu.

Jana balozi wa Uingereza alitoa neno kuhusu kufungiwa kwa gazeti la The Citizen. Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza aliongezea kuwa katika mkutano wa waandishi wa habari utakaofanyika Canada wataliongelea swala la uhuru wa habari Tanzania.

Wakati huohuo Tundu Lissu ameieleza duniawkuhusu shambulio lake la kupigwa risasi 38 akiwa katika mapumziko ya mchana bungeni. Alieleza piawjukosekana kwa ulinzi wakati wa shambulio, kunyimwa stahiki yake ya matibabu, na ku pia kusimamishiwa mshahara wake wa ubunge. Na aliekeza waziwazi nia yake ya kugombea u raisi 2020 kwa tiketi ya CHADEMA.

Kule kusini kwa yakiyotokea baada ya sakata la korosho. CCM inahitaji nguvu ya ziada kupata kura.

Ninavyoona rais amaeamua kuunganisha hekima za watu makini katika kukabiliana na changamoto za sasa kuelekea uchaguzi 2020.
 
Sasa nawahurumia wale ambao chama kwao ndio maisha wakampokea mzee wakapambana kwenye uchaguzi vurugu zile ukute kuna waliopoteza viungo vya mwili au kuna waliofariki,familia zinateseka na mzee huyo karudi zake chama cha kijani. Ndio maana mimi na siasa mbali mbali nitapiga kura sababu tu ni haki yangu ila si mshabiki wa siasa kabisaaa
Ujinga wa vijana wa cdm ndo huu
2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikundi cha watu wachache cha majizi, mafisadi na wahuni ambacho kimetuingizia Watanzania hasara kubwa sana ya trillions kuanzia 1985 hadi hii leo na kusababisha nchi kubaki nyuma kimaendeleo kwenye mambo mengi muhimu ikiwemo elimu, afya, usafiri, kilimo, ajira, biashara n.k.
Best hoja yangu ni kuwa, Jiwe alijinasibu kuwa aliingia Ikulu pasi msaada wa mtu, akimaanisha hakukuwa na mkono wa “The King Maker” katika ushindi wake.

Sasa huu ukaribu wake nae sasa hivi ni kuwa anatafuta nguvu ya ziada kutoka na na hali ya siasa za Tanzania nje na ndani ya nchi?
 
Best hoja yangu ni kuwa, Jiwe alijinasibu kuwa aliingia Ikulu pasi msaada wa mtu, akimaanisha hakukuwa na mkono wa “The King Maker” katika ushindi wake.

Sasa huu ukaribu wake nae sasa hivi ni kuwa anatafuta nguvu ya ziada kutoka na na hali ya siasa za Tanzania nje na ndani ya nchi?
Sarafu ya Tanzania imeimarika zaidi wakati huu kuliko kipindi chochote cha historia ya nchi hii.
Magufuli amefanya kazi kubwa sana kurekebisha mambo mengi ya ovyooooo
amehakikisha watoto wanasoma bure
maji safi na salama yanapatikana kila mahali
hospitali dawa zimejaa
mikopo inapatikana kwa riba nafuu.

Kwa hayo yote kwa nin wakina lowasa wasilambe miguu yake ?
 
Katika hilo kundi simuoni mwenye umakini wowote ule yote majizi na mafisadi yenye kujali matumbo yao na yale ya familia zao.

Best hoja yangu ni kuwa, Jiwe alijinasibu kuwa aliingia Ikulu pasi msaada wa mtu, akimaanisha hakukuwa na mkono wa “The King Maker” katika ushindi wake.

Sasa huu ukaribu wake nae sasa hivi ni kuwa anatafuta nguvu ya ziada kutoka na na hali ya siasa za Tanzania nje na ndani ya nchi?
 
Sarafu ya Tanzania imeimarika zaidi wakati huu kuliko kipindi chochote cha historia ya nchi hii.
Magufuli amefanya kazi kubwa sana kurekebisha mambo mengi ya ovyooooo
amehakikisha watoto wanasoma bure
maji safi na salama yanapatikana kila mahali
hospitali dawa zimejaa
mikopo inapatikana kwa riba nafuu.

Kwa hayo yote kwa nin wakina lowasa wasilambe miguu yake ?
Today 1US$ = 2,344.95 Tshs
 
Mfalme wa sasa ana miaka 5 tu ang'atuke madarakani. Mapacha 3 a.. k. a KingMakers wameona wajisogeze ili waweze kumuweka mfalme wao baada ya huyu kupita!
 
Kikundi cha watu wachache cha majizi, mafisadi na wahuni ambacho kimetuingizia Watanzania hasara kubwa sana ya trillions kuanzia 1985 hadi hii leo na kusababisha nchi kubaki nyuma kimaendeleo kwenye mambo mengi muhimu ikiwemo elimu, afya, usafiri, kilimo, ajira, biashara n.k.
Mimi nilimkataa Lowassa toka siku Chadema walipompa cheo kikubwa kuliko wenye chama
This is what happened...... hahah thinking loud
Kesi ya Mbowe na Matiko jana **maagizo toka naniliiii
Rudi sisiem nitawaachia wafungwa wa kisiasa
Ukirudi wananchi watanipigia kura kwa wingi wengi wanakupenda (kura zitaongezeka 2020- akili ya kifisi)
Ukiulizwa utawaambia bila mimi Mbowe angeozea jela
Nitakuteua uwe ** Katibu mwenezi wa chama ukazoe kura vijijini
Kesi zoooote za Richmond Esscrow IPTL Koro-Show zitatoweka
Nitakusafisha kwa dodoki la chuma
Nitakulinda na kukutunza
Kwa niaba ya awamu ya tatu nne na tano wote mpo swalama

**Hizi ndio ahadi lukuki
Movie inaendelea kuna mtu atateleza kwenye ganda la ndizi na movie itakuwa imeishia hapo
Tutapata Tz mpya....

Nani mjinga hapa? Nauliza
 
Back
Top Bottom