Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

C. C. M. 👏👏

C. C. M. 👏👏

C. C. M. 💚💚



Haaaaaa haaaaaa haaaaaa, 💚💚💚💚

Hapa Kazi Tu...!! Mambo ni hivi... 💘💗👕👘🏋🔰🇹🇿👏👏👏👏👽😂😂😂🌻🌻🌻🌻🌻🌻🌲🌲🌲🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌱🌱🌱🌱🍀🍀🍀🌿🌿🌿🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴📗📗📗📗📗🌄🌄🌄🌄🌄🌄🌄🌄🌄🌄🌄🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃💚💚💚💚💚💚💚💚

Hapa JPM kacheza kama Pele, sbb 2020 Mzee Lowassa angeungana na Membe upinzani ingekuwa hatari kubwa sana kwa CCM, hivyo Mh. JPM kawahi mchezo mapema kumrudisha Edo home kwa gharama yoyote ile.. Sbb Edo is the Most Genius politician kwa siasa za hapa Tz..!! $afiii sanaa!!


CCM for life...!! 👏👏👏👏👏💚💚💚💚💚💚
 
Tulijua hili. Wish you a quick recovery TAL.
 
Vipi mkwe wake atatolewa jela?vipi atarudishiwa Mali zake?
 
sawa yote mazuri!
Intelligence ya chadema haikunasa hili wameshtukia tu hilo keshahama sasa European Union au Marekani kama huwa wanawatumia chadema na kuziamini taarifa zao na kuwalipa imekula kwao . Chadema weupe hawana intelligence.Lisu akisema ana inside information mwongo
 
Back
Top Bottom