Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Yeye na Sumaye wote Maboya tu na maji siku zote hufuata mkondo, hivyo fisadi moja limerudi nyumbani kwa mafisadi wenzie.
Mkuu pamoja na kuludi ila huyu mtu analudi na faida kwa CCM, Analudi na siri Chadema kwenda kwa CCM
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ukweli nikwamba ccm wameamua kurejesha makundi ndani ya chama
Yani ulipo tupo,
Kazi na bata,
Ccm mpya,

Lile kundi ndogo lililo kajiunga na ccm mpya kiunafki na wale walio kawa banch wataibuka kwa nguvu zote.
Teem ya majani mapana imesajiri usajili kama wa ngasa kwa yanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1551454675077.png
 
Kama ni kweli ni furaha kwa mabadiliko tunamtakia kila la heri
 
Yaliyojadiliwa mwaka jana wakati lowasa alienda magogoni kumpa tano jiwe hatukuyajua, huenda hii ilikua ni project iliyojadiliwa ifanyike mwaka huu

Sent using unknown device
 
Itakuwa faida kwa upinzani 100%....

Nilishapiga kelele sana hapa kuhusu Lowassa na Sumaye....

Hawa ni watu walioshiriki kila aina ya ufisadi ndani ya ccm .

Angalia sasa tamaa ya mbowe sijui na Dr slaa uso wake atauweka wapi?....

Niwakati wa Lissu kapewa chama na kumshawishi Bi Fatuma karume wagombee 2020 tuchukue nchi mapema...

Fukuzeni na Sumaye kwenye chama ungana na Zitto awe waziri mkuu baada ya uchaguzi hapo tutawapigania kwa hali na mali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nawashangaa mnaoshabikia matukio na watu badala ya kile mnachokiamini, yaani masuala ya msingi.

Wale wanaojiamini ni watu wenye mafanikio makubwa kila mara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ATM ya chadema imeondoka kwenda CCM Lisu hela ya chakula,mavazi ,kodi ya pango na ada ya wanawe atatoa wapi.Poleni chadema kwa kuondokewa na ATM
 
Ujio wa Lowasa CCM kwa sasa una faida gani katika uimara wa chama hicho? Je, ni upi mtizamo wa viongozi wa ngazi mbalimbali ndani ya chama hicho?

Je, kwa chadema Leo hii kuondokewa na Lowasa ni faida au hasara? Alikuwa na ushaeishi?

Kwa Mahakama na serikali, ujio wa Lowasa CCM hauwezi kuwa na viashiria vya rushwa hasa pale yatakapotolewa maelekezo ya kuhitimishwa kwa kesi ambazo zinawahusu ndugu na jamaa zake?

Kama ujio wake CCM utapelekea baadhi ya watu kutoka magereza, je haitaleta picha kuwa tumewaweka watu kwa sababu za kisiasa na hivyo kumfanya jaji mkuu na muhimili wake kuonekana unatumika kuwakandamiza wananchi wenye mrengo tofauti na serikali au chama tawala?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa imebaki zamu ya Dr. Slaa kurudi Chadema. Tumefika patamu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom