Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Hahaaa 2020 hiyooo! Anaenda kujikatia kipande chake alichokibakisha awali! Kumbuka alikuwa na ccm yake ndani ya ccm! Mchezo alioutumia wa kuondoka na sehemu ya jeshi na kwenda kuliunga na jeshi jipya ili kupata jeshi kubwa na imara inaweza kuendelea kumweka kwenye ramani ya siasa ila kuhusu madaraka asahau!! This time anaweza kuondoka na kijipande kidogo tu kutoka chadema ambacho hakitamsaidia kama kile alichokibandua kutoka ccm 2015!! Pia labda anaogopa kuwekwa jela nna umri wake ule!!

Inawezekana unachosema mkuu!

Ila lile zee watu wanalichukulia kua ndio limekufa na Jiwe aka-relax,anaweza kuumia!

CCM mle kuna kambi mbili,kambi ya jiwe haina watu wengi sana,kuna ile kambi ya akina Nape,Membe,January,etc,ile ina watu kibao na jinsi Lowassa kaingia,wanaweza piga fitina chini kwa chini Jiwe akajikuta hayupo kwenye kura!

I smell something here!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakika Siasa Ni mchezo Mchafu sana toa maoni Yako hapa je unahisi Alichokifanya ni sahihi au Kashinikizwa au kaona Dalili hazisomi Huko??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dr. Slaah aliyasema haya akaonekana Mwehu

Sasa wale Waliomvua Ufisadi na Kumsafisha usijeshangaa Wakamrudishia tena ufisadi wake

Ndiyo utajua Kuwa Watanzia Kwenye siasa ni Inconsistent.

Sasahivi Kuna Wengine Wameshaanza kusema Hakuwa na Impact yoyote wakati alipewa mpaka Nafasi ya Kugombania Uraisi

Kumbe alipewa mtu ambaye hana Impact aje atuongoze?

Kikubwa na cha Msingi kazi aliyotumwa ameshaikamilisha!!
Ile Wabunge na Madiwani Kuzitosa nafasi zao na Kuunga Juhudi za Mkuu haikuwa bure.. Ni yeye ndiye aliyewapeleka.
Na ni yeye ndiyo sababu ya Slaa kuondoka Chadema..
Na ni yeye ndiye aliyewavuruga Chadema Katika Uchaguzi wa Mwaka 2015.
 
Duh nimekumbuka yale matusi ya MSUKUMA eti Mzee Lowassa ali..yea kweli siasa usimtukane mtu sijui Msukuma atauweka wapi uso wake.
 
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.

Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.

Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim n.k



View attachment 1035375View attachment 1035381

Unaweza soma pia:

Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums

Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums

Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums
Ni wakati viongozi wa upinzani kujitambua na kujiandaa vyema kwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu mwakani.

Hivyo basi, kurejea kwa Lowassa CCM isiwe mjadala mkubwa katika mazingira niliyoyataja ila kujipanga vilivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki ni kipindi cha kua na akiba ya maneno.

Maendeleo hayana chama
 
Lowasa ana nyota ya pesa Lowasa na Membe ndo wenye kuweza kusimama na ukawa 2020 wakashinda na kurudisha hadhi ya ccm nje ya hapo ukawa njia nyeupe,ccm mpya haiuziki si mtaani,msikitini wala kanisani,
 
What a timing! Kwenye msiba wa Ruge. Kila la heri msaka fursa ya uraisi. Ila cdm mmetia aibu katika hili. Nafasi kubwa kama ya uraisi mnampa mamluki agombee?
Kosa siyo kosa , kosa ni kurudia makosa mkuu

Sent from my Iphone using Tapatalk
 
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.

Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.

Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim n.k



View attachment 1035375View attachment 1035381

Unaweza soma pia:

Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums

Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums

Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums
Niliwahi kuleta uzi hapa kuhusu Lowasa kua ipo siku atarudi CCM.
Hayawi hayawi na leo hii yamekua

CHADEMA bado hamjapata kiongozi - JamiiForums
Screenshot_20190301-183717.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom