Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za kwako zipo kwenye makende.Tatizo akili zako zipo kwapani
In God we Trust
Zitto sio tishio kabisa broMpinzani tishio kwa magufuli 2020 ni lissu na endapo uchaguzi utakuwa ni huru na wahaki, maana mnategemea posisi na tume kushinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtachagua imani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chadema sasa hivi ni imani hata akiondoka nani watu wanasonga mbele
Hii inahitaji thread yake kabisa.Sasa nadhani rafiki yangu nayemuheshimu Dr Slaa atarudi CHADEMA,maana asiyempenda kaja.
Watu wakikosa hoja wanaingilia mambo ya ukabila. Siasa ni mchezo kama karata. Soma alama za nyakati. Yes EL will never become the next president. But in politics, he configures something to work against the opposition, especially in the same party.NIAMBIE MUHUTU? UNASALIMIWA NA GABRIEL CLEMENT NDAHANI
It looks like an optical illusion.
But it's real!
Kuna ccm makalai wanafurahia lowasa kuludi ccm kumbe hawajuwi kua chadema inajiandaaa kuchukua Inch natayari washamuandaa Mh Lisu kuamgombea sasabasi huu nimpango maalum wa chadema ambao kamatikuu imekaa na kumpeleka mzee Lowasa lengo ni kutibua mipango ya ccm katika uchaguzi mkuu. (Yajao Yanafuraisha)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah...yaani daah,.wala hakuna pengo lolote aliloacha aisee,wala pigo kwa chadema,hakuna impact yoyote ile..akwendreeeee mwana kwendraaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah yaani siasa za nchi hii aki vile kama kuna muda una stress unaweza cheka hata pekeako,.Subiri upepo wa sumaye and co wakule kwao...
Kesho kaa karibu na Runinga yako kusikiliza bendera fata upepo kutoka pande zote za nchi hahaha...
Siasa za Tanzania bhana.
-ajira karibia na uchaguzi
-kuunga juhudi wakati wa uchaguzi
-kulipa wastaafu wakati wa uchaguzi
Yote hayo kwa kikundi cha watu chenye lengo moja yaani chama cha siasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Makonda, polepole, nape walimtusi huyu mzee.Polepole leo ni siku ya mateso Kwake usiyempenda kaja
Huyu mzee mvumilivu sana mkuu matusi yote kaoga pande zote mbiliAli'jinyea' au haku'jinyea' kule Chato? Mlimtukana sana baba watu nyie ccm!
Sent using Jamii Forums mobile app