🤣🤣🤣🙏🗣Yani nimefurahi hadi basi.Iko hivi:
"Wakati Rais magufuri akijinasibu kupambana na ufisadi alituhumu CHADEMA kupokea fisadi na akasema mafisadi yanakimbia ccm yanaenda upinzani" Badae pale UDSM akamuagiza apeleke ujumbe chadema kwamba wambie wenzako wasipofuata Sheria wataishia jela😆"
Sasa nimefurahi sababu fisadi waliesema amekimbilia chadema karudi nyumbani kwao alikolelewa na kufundishwa lakini mwisho amekimbia jela😂😂This side is 4 men ,boys will run away.
Kifupi mzee malengo hayajatimia na mbele kaona giza kwa siasa za Sasa ziwahitaji akina Lisu,Zitto,Heche,Sugu,Mbowe,Mdee, na wengine waliojikana kutetetea haki hata ukiwawekea pisto kichwani tumtakie heri mzee Lowasa ni wakati wa Ccm kufuta matusi na kejeli walizotoa dhidi ya Lowasa 😜😜mana Mwali ndo kesharudi ndani kwao Kwahiyo ile harufu mlioishikia pua Sasa ni kuachia pua imegeuka kua nzuri.
Kifupi Lowasa amewini game nani wa kumvika kengere🤣🤣🤣🙏
Siame GK.