Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Moto uko pale pale. Hivi unamchukuliaje Lissu?
Mpinzani pekee kwa Magufuli alikuwa Lowasa na sio Lissu wala Zitto wanaojibaraguza mitandaoni. Lowasa hayupo sana mitandaoni ila field yupo vizuri sana kuliko Lissu na Zitto.

2015, Lowasa alionyesha nguvu ya upinzani dhidi ya Ccm, mtanange ulikuwa mkubwa kweli na haikushabgaza yeye kupata kura nyingi ila wabunge na madiwani wachache kulinganisha na asilimia ya kura alizopata.

Lowasa kurudi Ccm ni pigo kubwa kwa upinzani haswa Chadema na neema kubwa kwa Ccm.

Kwa sasa upinzani una option chache mno, Lissu ambaye uwezo wa kuzunguka nchi nzima hatokuwa nao 2020 na hata akiwa nao bado watanzania hawajamuelewa.

Zitto, huyu ana umaarufu mkubwa sana mitandaoni ila field ukiondoa Kigoma mjini hana impact yoyote. Akisema asimame na Magufuli ni kipigo cha mbwa mwizi.

Mbowe?
Sumaye?

Ila kiuhalisia Lawama zote anastahili kuzibeba Mbowe kwa tamaa zake na kama ana busara lazima akampigie magoti Dr Slaa.

Njia ya Ikulu tayari imesafishwa na Lowasa Leo.View attachment 1035464

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana Chadema wana misiba miwili sasa...hii inaitwa misiba dabo dabo...dabooo dabooo....dabo dabo dabo eeeeh....eheeee dabo dabo.

Ila Lowhasa aisee mbona amewakatili sana waliomsafisha sana kwa ufisadi wake uliotukuka


Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Jiwe asijione kwamba yupo salama sana!

Kuna coup de'tat hapo,hataamini macho yake!

CCM sio ya jiwe,asijidanganye!

Waache wapige makofi sana,karudi,karudi.....
Mkuu kwa wenye maono ya mbali wanajua hatari iliyo mbele ila jiwe anachekelea na kuona kapata kumbe sivyo...
 
Lisu hela hana ya Kula,mavazi,malazi na ada za watoto anaomba omba hiyo hela ya kugombea uraisi atatoa wapi?

Nyerere alipotafuta uhuru wa Tanzania hakuwa hata na senti tano alichangiwa. Lissu bila hata senti atagombea na atapata kura za kutosha. Kama sio Lissu urais 2020 basi awe Zitto.
 
Na Sema hivi wanasiasa wote wa Africa ni mafisadi
 
Back
Top Bottom