Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Wengine tulishasema zamani huyu mzee ana options mbili tu: kuacha siasa au kurudi CCM na hili la kurudi CCm ni nzuri zaidi kwake sababu itamtoa Sioi (mkwe wake) na kitilya washirika wake wa karibu mahabusu. Politicians are never to be trusted!