Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuhama kwa Mjumbe wa Kamati Mkuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Edward Lowassa na kuamua kurejea CCM hivi kweli anamkimbia Tundu Lissu katika kinyang'anyiro cha Urais 2020?View attachment 1035440View attachment 1035441
Niliisubiri hii Siku kwa hamu kuwaona kina maalim seifu na mbowe wakiumbuka. Lipumba roho ilimsuta aliona mbali. Hence proved prof ni prof tu
Una theory nzuri pia. Lakin kwangu mm nilimuona kama asset kwa ccm. Even if alidefect lakin bado ccm walikuwa na access nae.Lowassa kwenda Chadema HAKUWA na agenda yoyote zaidi ya kutapatapa baada ya kuondolewa jina lake kwenye kinyang'anyiro cha CCM. Alikuwa anabahatisha bahati yake upinzani baada ya milango ya CCM kufungwa. Kwa sasa ameona umri umeenda na hakuna uwezekano wa kufanikiwa ndiyo maana anarudi CCM ambako nako hatakuwa active!