Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Chadema wao walimnunua kwa kiasi gani?? Mapovu tuu. Kwa taarifa yako Lowassa ameona hakuna faida ya kuendelea kukaa kwenye chama mfu ukitilia maanani sheria ya vyama vya siasa imepita hivyo ulaji wa ruzuku umebanwa sasa anakaa Chadema kwa lipi? Na 2020 kuna uwezekano Chadema wakupata wabunge wawili ama watatu tu. Amerudi nyumbani kumenoga!!
Kwahiyo hajinyei tena?
 
Wakati Lowassa akihamia CHADEMA, UVCCM walikuwa mstari wa mbele kumponda na kumpa majina mabaya. Wakati huohuo, ilikuwa ni furaha kwa BAVICHA kumkaribisha.

Katika mijadala inayogusa uchama, makundi haya mawili yamekuwa opponent. Lakini katika swala hili la Lowassa kurudi, naona wapo kimya. Wamenywea. BAVICHA wameendeleza furaha yao huku UVCCM wakificha hisia zao! Forum imeshikiliwa na BAVICHA.

Je, hii inaashiria nini?
Je, wao kama vijana wenye mawazo mapya, wamehisi nini kuhusu kurejea kwake?

Je, Bashe kumshambulia Mh. Kikwete, ni mwanzo mpya wa makundi ndani ya CCM?
 
Mimi nilimkataa Lowassa toka siku Chadema walipompa cheo kikubwa kuliko wenye chama
This is what happened...... hahah thinking loud
Kesi ya Mbowe na Matiko jana **maagizo toka naniliiii
Rudi sisiem nitawaachia wafungwa wa kisiasa
Ukirudi wananchi watanipigia kura kwa wingi wengi wanakupenda (kura zitaongezeka 2020- akili ya kifisi)
Ukiulizwa utawaambia bila mimi Mbowe angeozea jela
Nitakuteua uwe ** Katibu mwenezi wa chama ukazoe kura vijijini
Kesi zoooote za Richmond Esscrow IPTL Koro-Show zitatoweka
Nitakusafisha kwa dodoki la chuma
Nitakulinda na kukutunza
Kwa niaba ya awamu ya tatu nne na tano wote mpo swalama

**Hizi ndio ahadi lukuki
Movie inaendelea kuna mtu atateleza kwenye ganda la ndizi na movie itakuwa imeishia hapo
Tutapata Tz mpya....

Nani mjinga hapa? Nauliza
Ina maana umesahau hii ya kufutwa kesi ya Sioi, Shose na Kitilya?? Vuta subira utashangazwa kama ulivyoshangazwa na ya babu Seya.
 
Kwa heri Ruge karibu Lowasa, liko wazi Lowasa angerudi Ccm thus alianza kumtanguliza Karanga ili jimbo LA Monduli lirudi ccm,wanaweza wakawa wamerudi kwa jiwe ili wamuangamize kumbuka hawa mapacha watatu ni watoto wa mjini wako kitambo hawajaja mjini wakubwa,ngoja tuchek sarakasi zitakavopigwa uenda jiwe akaliwa kichwa akiingia 18 ya mapacha hawa.Muda ni mwalimu

Ramli hii imekaa vizuri!
 
Zaidi ya nusu ya viti vya cdm bungeni 2020 havitakuwepo . Anayebisha twende MKEKA BETTING. Najua mijawpo ya agenda cdm 2020 ni Koroshow ,Dollar Ajira na hali ya maisha.
Usanii wa kuyajibu maji yanachemka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumbu mtaropoka yote suruali zimewabana pamoja na mashati,2020 sijui mtatokaje endeleeni kujifariji na mpondeni Sana Lowassa lakini haitawasaidia chochote na chama chenu Cha ukabila

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Back
Top Bottom