Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi mtupu.
Tamko atolee jera mnamkomshikilia kwa kosa lenu la mauaji?Lowassa alipojiunga Chadema tuliona mbwembwe za Mwenyekiti chadema Freeman Mbowe akiitisha press conference akiongea kwa complex superiority na mbwembwe nyingi kutamgaza ujio wa Lowassa Chadema.Mbona Mbowe hutoi tamko kulikoni? Unaumwa au?
Mhu nilikuwa na mpango wa kuzamia sasa siendi mpaka kieleweke. Wenye wazazi watakoma maana zitasombwa zote. Sina baba na mama ila ndugu mnaukumbuka ule wimbo uliimbwa na mkenya mmoja? Sasa ninamuona e bibi..... kama mhenga kama asprini utaujuaWamevamia bureau de change usiku usiku ili kufanya ujambazi wao. Best unayakumbuka mabilioni ya Uswiss? Hivi yaliishia wapi?
Na utaona next time anagombea kwa ticket ya chama,na atapata hiyo ndio siasa bhana
Kule wala haitaji huo ujanja ujanja maana tayari ni billionaire. Business safi kabisa.Sio CCM ya Magufuli mkuu.Ameona mambo hayaendi South Africa.Ujuaji juaji kule na vidili vya kijinga jinga kama bongo ni unacceptable na out of place.
Alipo hamia alikuja na pesa ndio maana mwenye kigoda wa chama alimshangaliaLowassa alipojiunga Chadema tuliona mbwembwe za Mwenyekiti chadema Freeman Mbowe akiitisha press conference akiongea kwa complex superiority na mbwembwe nyingi kutamgaza ujio wa Lowassa Chadema.Mbona Mbowe hutoi tamko kulikoni? Unaumwa au?
Sasa ndo umeandika nini, hao si ndo wamempata tena Lowassa wao ama?
Kuna pointi unaweza ukaandika ikawa na maana, lakini ni bora ingekaa ubongoni kwa mtu tu, ulipenda aitishe press conference akiwa mahabusu? Sheria zinaruhusu hilo?
Pumbavu ww.....atatolea wap wakat mmelockup segereaLowassa alipojiunga Chadema tuliona mbwembwe za Mwenyekiti chadema Freeman Mbowe akiitisha press conference akiongea kwa complex superiority na mbwembwe nyingi kutamgaza ujio wa Lowassa Chadema.Mbona Mbowe hutoi tamko kulikoni? Unaumwa au?