Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Kwa CCM hii kura siyo inayoamua nani ni mshindi, ni mitutu ya bunduki ndiyo itaamua nani atangazwe mshindi. Bila mabavu ya dola na mbeleko ya NEC CCM haina uwezo wa kushinda kabisa.
 
Inawezekana KWAKO MSIBA WA RUGE NI MUHIMU ILA SI KWA WOTE. KILICHO MUHIMU KWAKO SI LAZIMA KIWE MUHIMU KWA WOTE.

Kwa mfano HAO WATU WAWILI WOTE SI MUHIMU KWANGU. so sikondi,sipati presha sina huzuni. Katika maisha chagua watu muhimu kwako. Deal na hao wengine achana nao.otherwise utaumia bure tu.

So nadhani Magufuli ana haki ya kuchagua watu muhimu kwake.na wewe una haki ya kuchagua watu muhimu kwako. Then kila mtu awe na watu muhimu wanaomhusu. Sometime kwa judgement zetu tunakosea sana tunapotaka ziwe universal. Na hali hii ndo inasababisha udikteta.


Hii picha haingii akilini hata chembe. Nianze kwa kuuliza .''HUU KAMA SIYO UNAFIKI WA WATANZANIA ULIOPITILIZA NI KITU GANI...???
Kwamba Watanzania wote wako kwenye musiba mzito wa kifo cha Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi wa CMG marehemu Ruge Mutahaba anajitokeza Edward Ngoyai Lowassa kutangaza kuhama CHADEMA na kurudi CCM inakuwa ni tukio muhimu zaidi kuliko musiba....!!!Rais wa JMT Mhe. John Joseph Magufuli ame-tweet kwenye mtandao wa tweeter kuelezea masikitiko ya kifo cha Ruge lakini hajafika nyumbani kwao na Marehemu Ruge kuwapa pole wafiwa.

Lakini baada ya Lowasa kutangaza kurudi CCM pale Lumumba Rais Magufuli yuko mbele kushangilia na kusherekea kurudi kwa Lowassa. Makada wa CCM wanashangilia na kufurahi katikati ya musiba mzito wa kijana Mtanzania ambaye amegusa nyoyo za Watanzania wengi.
Je, hili limepangwa au ni bakti mbaya? Kama CCM walikuwa wamepanga Lowassa arejee CCM tarehe ya 1 March, 2019 wameshindwa nini kuahirisha sherehe hiyo ambayo haina tija yoyote kwa Watanzania? Je, haya ni maksudi ya kuumiza nyonyo za Watanzania hasa Wana-media na wale wa vyama vingine vya siasa hususan CHADEMA? Maswali ni mengi kuliko majibu....!!

Nihitimishe kwa kusema hivi, kama Taifa, Tanzania tumeshapoteza mwelekeo wa mambo ya msingi ambayo tuliachiwa na mwasisi wetu Baba wa Taifa JK Nyerere(rip). Ni ubazazi wa hali ya juu kuimngiza siasa katikati ya musina mzito kama huu. Matukio haya mawili: KIFO CHA RUGE MUTAHABA na KUREJEA KWA LOWASSA CCM kwa hakika kimeonesha UNAFIKI WA HALI YA JUU usiozingatia UTU, HESHIMA na USTAARABU katika jamii ya walio HAI na WAFU. CCM wamekuwa ni mafundi sana wa kutengeneza PICHA ZA KINAFIKI ambazo kuna siku zitaleta matokeo HASI ambayo Wanasiasa hasa wa CCM hawajawahi kuzitarajia.

Hivi Rais Magufuli haoni aibu? Rais Magufuli amedhihirisha unafiki wake kwa Lowasa. Hivi yale maneno na kauli aliyoitamka siku ile kuwa WALE WAJUMBE WOTE WA MKUTANO MKUU WA CCM WALIOKUWA WAKIIMBA WANA IMANI NA LOWASSA ANGELIWAPOTEZA ZAIDI YA NUSU YAO... ameyafuta lini? Wahenga walisema ukitaka kuwa mwongo na mnafiki mzuri usiwe msahaulifu...!Je, waliokuwa wanashangilia, kuimba na kusherekea kurudi kwa Lowassa CCM jana pale Lumumba basi Magufuli atuambie atawapoteza wangapi?

Tafakuri.
 
Team ya mikakati iko mitamboni baada ya dereva wa lorry kupiga reverse nyingi na kuhatarisha kuharibu lorry 🚛
 

Attachments

  • 1551530316550.png
    1551530316550.png
    271.2 KB · Views: 19
HII NA MIMI IMENISHANGAZA SANA... RUGE AMEKUWA ISSUE KUBWA ILHALI MIMI BINAFSI NAMWONA NI KAA VIJANA WENGINE AMBAO WAMEFANIKIWA KIMAISHA BASI. BUT NI WA KAWAIDA SANA.

kizazi cha kudamshi wanaamini ruge ni mtu muhimu sana nchi hii 😛
 
Watu wachache hawakutarajia kama mh Lowasa angerejea Ccm.Bali werevu walitarajia hilo,hasa baada ya Yohana mbatizaji msafisha njia kurudi CCM Mh James ole millya.njia aliiandaa na sasa mzee amerudi.je mh lowasa anamuhitaji mh magufuli au mh magufuli anamuhitaji mh lowasa zaidi?hapa ni silaha zimetafutwa kukaribiana na korosho pia na uchaguzi hasa kwa wale walioanza chokochoko za urais..pengine mh Rostam akanunua korosho zote..hapo karata itakuwa imejibu..mh Lowasa bingwa wa mikakati anaweza kuzizima kelele za wamachinga kimyakimya hiyo nayo ni karata kuelekea uchaguzi 2020.kundi jipya kwaajili ya uchaguzi...waliokuwepo 2015 hawapo tena kumsaidia rais ashinde bali matarajio yao ashindwe.kwa bahati mbaya sana mh amebali via angani amewatangulia mbele amejiandaa na kikosi kilichotofautiana na mtangulizi wake...atashinda kwa 85%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukipata jibu sahihi la swali hii, basi utagundua ni kwanini CCM itaendelea kupoteza uungwaji mkono licha ya hii hamahama ya kila siku na utajua ni kwanini pamoja na kujifariji na hii hamahama, kamwe hawawezi kujiamini na kukubali Tume Huru ya Uchaguzi.

Ukweli ni kwamba,siasa za hama hama kamwe haziwezi kuwa mtaji kwa chama chohote tawala ambacho kinavurunda kwa kiasi kikubwa kama CCM hii iliyoshindwa kukidhi matarjio ya wananchi na sasa inaatafuta kukubalika kwa kutegemea hama hama ya mwanasiasa mmoja mmoja kutoka upinzani.

Hama hama hii ingeweza kuwa na maana kwa CCM iwapo wangeweza kukidhi matarajio ya wananchi wa kawaida lakini sio katika mazingira haya ya uchumi kuharibika,ukosefu wa ajira,mabiashara kufungwa,watu kutekwa na wengine kuwawa,dola kupanda,kuharibu zao la korosho,kukata asilimia 15 kwenye mishahara kulipia deni la bodi ya mikopo,mazao ya wakulima kukosa soko,kushindwa kuongeza mishahara ya watumishi na kulipa stahiki zao zingine,n.k.

Hakika huyu bwana sio tu ni mtupu katika maswala ya uchumi,diplomasia,n.k bali pia ni mtupu hata katika siasa.
Unahisi ni chama gani kitashinda chadema ya akina Sugu au
 
Kila mtu ana fight kwa ajiri ya tumbo & ramani zake za kibiashara

Sent from my GT-N7000 using Tapatalk
 
Kampuni ya Caspian iliyokuwa inachimbish a katika migodi ya Barrick/Acacia, Mwadui nk usichukulie hiyo kazi ni rahisi kuifanya maana inahitaji vifaa vizito vingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo kandarasi za kupeana gizani ccm kwa jina la caspian...uliza hata kama wamewahi omba kazi za uchimbaji sehemu nyingine yoyote mbali na Tanzania kama kweli wanazo sifa za kuchimba madini halafu taja hizo nchi kama zipo.
 
Kuna
Kwanini unawashangaa akina Polepole kufanya kilekile walichofanya Chadema 2015? Hivi kati ya CCM na Chadema ni nani aliyemuita Lowassa fisadi kwa muda mrefu zaidi? Nitakusaidia jibu: Chadema walianza kumuita Lowassa fisadi mwaka 2006 na waliendelea kufanya hivyo hadi Julai 2015, yaani miaka tisa mfululizo.

And guess what? Wakati CCM haitojihangaisha kumsafisha Lowassa, Chadema ilizunguka nchi nzima kulamba matapishi yake - na kibaya zaidi - kutelekeza flagship policy yake ya vita dhidi ya mafisadi.

Kosa kubwa linaloweza kufanywa na Chadema ni kuendelea kujihadaa kuwa hizi hamahama haziwaathiri.

Swali moja ambalo hakuna mwana-Chadema anaweza kujibu kwa hakika ni hili: WHO IS NEXT?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tofauti kubwa kati ya Lowassa aliyepokewa jana na ile ya 2015.
 
Ni juha tu anaweza sifia utajiri haramu wa aina hiyo, hata kama anamiliki 90% ya share za vodacom...hata kichaa anaweza okota almasi akauza akawa bilionea kwa siku moja, swali ataweza kumaintain ubilionea huo?? ndio maana nakuuliza ni wapi rostam ameanzisha biashara mpya kama mabilionea wengine wanavyofanya kina dangote..utajiri wa staili ya rostam wala haudumu, huyo si bilionea, labda kama unaona fahari kutamka neno bilionea, lakin hana hadhi hiyo, tatizo lenu rubbish za magazeti sijui forbes nyinyi mnameza tu..akili inajaza takataka tu hata jambo dogo la ukubwa wa sindano wewe unaona ni kama chuma cha tani 5 kabisa.
Soma vizuri Kiongozi. Wapi Kuna sifa hapo?
Tena nimesema kabisa kapataje hizo hela ni topic for another day. Timamu yeyote ataelewa hilo.
Ni common sense. Since common sense is not so common, tuachie hapo.
 
Hizo kandarasi za kupeana gizani ccm kwa jina la caspian...uliza hata kama wamewahi omba kazi za uchimbaji sehemu nyingine yoyote mbali na Tanzania kama kweli wanazo sifa za kuchimba madini halafu taja hizo nchi kama zipo.
Barrick na Acacia are not stupid kumpa asiye na uwezo. Sio tender za serikali au CCM. Advantage aliyokuwa nayo ni kwamba yeye ni major supplier wa heavy machinery za mining.
 
Mbowe alidhan Siasa ni Kama u Dj
Kaumbuka vibaya Sana
Akawadharau walimu wake wa siasa. 2015-march 01 2019 fumbo limefumbuliwa. Ndio ujue faharasa ya muumini inaona kwa nuru ya Mwenyezi Mungu. Wazee waliona mbali sana. Prof lipumba I'm sorry
 
Hatukosei mkuu hawa wanajiona wao ni malaika

Wanalalama JPM hashauriki utadhani wao wanashaurika kwa matusi kwao chuo
Dr Slaa si mwanasiasa tena hivyo hayana impact kwake. Alafu kumbe mlikuwa mnajua hizi blunders lakini mlivyokuwa mnamtetea sasa! Tukiwaita wanafiki tunakosea mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zwazwa mwenyewe na mpumbavu usiyejielewa ww .
Mbowe aliwaingiza chaka lakini lipumba na slaa walikataa
Sasa zwazwa weye unalikubali chaka lirudi tena ccm! Mpuuzi mkubwa wewe sasa iweje chaka likubaliwe tena ndani ya ccm? Na kwa taarifa yako Slaa naye aliingizwa chaka taahira wewe kama hujui mambo usikurupuke pimbi were uliza kwanza.

Kweli Lowassa kavuruga watu.
Ha ha ha ha Lowassa kiboko yao na kawaweza.

Chadema walimwita Fisadi weeeee akahamia kwao...wakalamba matapishi na wakanywea balaa.
We fikiria Lissu na mdomo wake ule akanywea.
Lema na mdomo wake ule na viapo vyote kuwa ni haki toka kwa Mungu kumzomea Lowassa akanywea na kunyenyekea.

Alivoenda Chadema , CCM wakamsema weee, kina Polepole wakamwita malaya na fisadi wee..
Sasa karudi. Ccm wote ziii...Polepole kanywea..ccm imenywea.

Hivi sasa ngoma droo. Hakuna ccm wala chadema anayeweza muita Lowassa fisadi. Wamebaki kama BAK na mwenzie wanavyotifuana kwa kitu kile kile...

Lowassa kiboko..jamaa korofi sana ha ha ha
 
Back
Top Bottom