Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Labda hujaelewa...koza Hilo liliuuzia upinzani kanyaboya na kuwafanya wapoteze uchafuzi.Kwamba Mbowe kumpokea lowassa na lowassa kuondoka ndio ajiuzulu uenyekiti ? Kisa wewe hukupenda basi ndio unataka awajibishwe,ebu niambie unatumia kigezo ghani kujua kwamba jiwe sio fisadi ?