Kwani ushajua ataongea nini?mnataka kusema naye kanunuliwa?
atakusifia weweKwani ushajua ataongea nini?
Katika maisha usikubali kumpa mtu siku yako.Wala sitaki hata kumsikia huyu mtu kuanzia leo. Kaniharibia siku hakuna kunacholika wala kunyweka mpaka muda huu. Heri nikapumzike kambi za alshababu!!
tuliambiwa lowassa ni raisi wa mioyo ya watanzaniaNashukuru sana mungu hili zee likiondoka.
Limetuletea gundu sana hili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole kiongoziWala sitaki hata kumsikia huyu mtu kuanzia leo. Kaniharibia siku hakuna kunacholika wala kunyweka mpaka muda huu. Heri nikapumzike kambi za alshababu!!
Hiyo sababu ya kwanza ina maana akiachiliwa ni sawa na kusema kuwa either madaraka yalitumika vibaya katika kumuweka ndani or upendeleo umechangia kutolewa kwake (ni sawa na rushwa in kind). Inatoa picha gani kwa wananchi wa kawaida?Hata ungekuwa wewe ungefanya maamuzi magumu kwa wakati uliopo. Jiulize, binti yupo nyumbani akimlilia baba amsaidie kumwombea kwa mwenye mamlaka kutokana na influence aliyonayo ili mmewe aachiwe kutoka korokoroni anakoshikiliwa.
Mkwara wa Lukuvi japo yupo serious kuwa ranch zote zirudi zilikotoka bila kujali ziliuzwa au kukodishwa si wa kitoto na huenda ndio mpango mkakati! Na hili la maswahiba wake kina nani wa benki iloyohifadhi zile za epa na yule mwanasheria nguli wa bot na hata katibu aliyemaliza mgomo na kurejea yena ofisini japo tuliambiwa katumwa India napo pana shida!
Ukiyaangalia yote kwa macho ya moyoni unauona kabisa mpango wa polepole unafanikiwa kirahisi wa kumrejesha huyu mzee alikotoka na usisahau kutembelewa kwa mzee asiyeamini uwepo wa Mungu kule muhimbili na mazungumzo yake kugeuzwa kinyume! EL, hata mimi ningerejea kama nalibutua kombolela kuwaokoa mateka! Rudi kwani cdm haijawahi kukosa makamanda wa ukweli!
Akirudi mkampokea vipi ile aganda yenu ya kuwafukuza mafisadi, ile hoja yenu kwamba huyu mtu kakosesha chadema Sera ya kupinga ufisadi utaisha?. Aisee lowassa akirudi ccm itapendeza sana maana kwanza kafifisha chadema pili atawafunga ccm mdomo kusema mafisadi wako cdm maana hiyo anayeitwa fisadi atakuwa kwao sasa.Lowassa ni Great leader.. tatizo CHADEMA wanafanya siasa za utoto na low standards.. Mh. Lowassa nadhani kajaribu kuwarekebisha ila bado hawaelewi..
Hint: Mh. Lowassa kalelewa na kukulia CCM, hivyo akitaka kurudi hakuna shida, CCM tuko tayari kumpokea kwa mikono yote miwili..
Mimi nina pesa ambazo nikizatandaza barabarani zinaanzia dar to dodoma halaf unasema unataka kuninunua nihamie....nikuambie tu ntahama kwa mapenzi tu au sababu nyingine ya kisiasa ila sio PESADeal done