Tetesi: Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari kesho kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam

Status
Not open for further replies.
Huyu akirud alikotoka ni nafuu kubwa kwa sie wanachedema tunaoamini kwenye ukombozi wa pili kupitia harakati na mfumo mbadala wa utawala nje ya watu waliokulia ccm na wanasaka maslahi binafsi tu
 

Unausemea moyo wako si moyo wangu.Hivyo anavyowaza si niwazavyo mimi.Pole sana huwezi kunisemea ila kikubwa nampa hongera kwa kukaa Muda aliokaa nasi Upinzani na pili ninamtakia kila la kheri aendako.Hakuwahi kuwa role model wangu na hatakuwa role model wangu
 
Lowasa anaakilisana alitaka machadema wamsafishe wenyewe ili wakimaliza kumsafusha arudi Ccm.
Ngoja tuone kama akirudi watasema tena fisadi
 
Mbowe,na uongozi wote wajuu wa chama,achieni ngazi,waingie viongozi wapya,hata kama,CCM,ilifanya ujasusi kupandikiza mamluki,wakakivuruga chama,kitendo cha nyinyi viongozi,kushindwa kulitambua hilo,inabidi muachie ngazi,
 
Kwahiyo mzee na wewe ulikuwa miongoni mwao mliomuamini huyu jamaa?
 
Ninachojua Lowassa hajawahi kuwa mpinzani sembuse kupigania haki za wapinzani ... Lowassa anachojua yeye ni kupigania maslahi yake pekee na hapa ndipo upinzani ulipokosea dira na kusababisha haya yanayoendelea hapa nchini.
 
Binafsi sijawai mkubali.lowasa hata tone,na sumaye nae aende anasubiri nini?wabaki makamanda pure.Hawa wafanya biashara sio wa kuwaamini kbsa
 
Mbowe aliharibu sana kumpokea huyu mzee! kwakweli ametuharibia chama! kitendo cha kumpoteza Dk Slaa ilikuwa ni pigo kubwa chamani! sasa niwakati ws kumuomba Dk Slaa arudi akijenge chama!
Arudi, kwa ujinga upi alionao???
 
Na badoooooooooooooo



Utakoma.


Unashabikia ujinga wa chadema????
 
Hato unga mkono ila ata eleza makubaliano kati ya yenye (upinzani) na Magu (chama tawala)
 
Wanachadema huyu Lowassa tumuite nani akihamia ccm?
Fisadi? Mgonjwa?
 
Mnampokea fisadi tena!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…