Rafiki yake ?? Au ??!!Walaniwe waloshiriki kukutesa na kukunyima haki yako 2014/2015
Huyu sio wa kumjibu ni mwehu!Lowasa yupi, wa wapi?
Sasa mtu alikuwa mgonjwa wa muda mrefu kapelekwa nje kutibiwa imeshindikana akarudishwa Muhimbili kuvuta vuta siku halafu mtu akisema fulani atafariki ndani ya mwaka huu huo sio utabiri maana tayari anajua ni mgonjwa mahututi."Roho ya umauti inaiandama namba mbili kati ya zile awamu SITA"nabii rollinga.alitabiri hivyo!
Pia alitabiri waziri mkuu maarufu sana ataondoka mwaka huu!!
Sisi tunafuatilia unabii tu mkuu!!
Duh 🙄 !Wangeshinda mmoja wapo kati ya hao,plan zingebadilika Kuna watu wangekua hai hadi leo trust me!!
Angekuwa ana act mapema hivi kwa mambo makubwa ya nchi pia ingependeza.Rais Samia Suluhu ametangaza siku tano za maombolezo kufuatia kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa.
Aidha, bendera zitapepea nusu mlingoti kuanzia leo Februari 10, 2024.
Duh 🙄 !Moja ya mijizi iliyo wafanya watanzania wabaki maskini
Alimtaja Lowassa miongoni mwa wazuri wasiokufa?Namsubiri makamba senior msibani akipayuka wazuri hawafi
Is this JAL 2!?JAL 3 next!!?ngoja tuone!!
RIP comrade!