Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Pole sana kwa Mama Regina, Fred "Cadet", Pamela na familia yote.
Tukiwa shule, Mzee Lowassa akiwa AICC nafikiri bado, kama mzazi wa mwanafunzi mwenzetu , alikuwa anakuja sana shule kufuatilia mambo ya elimu ya watoto, kuongea na walimu. Ni kati ya wazazi niliokuwa nawaona sana wakija shule kufuatilia mambo ya elimu.
Alivyokuja kuingia kwenye siasa na kusisitiza mambo ya elimu nilikumbuka sana na kuona huyu mtu ameishi haya maneno, si mambo aliyoanza kuyasema baada ya kuingia kwenye siasa.
RIP Mzee Edward Ngoyai Lowassa.
Tukiwa shule, Mzee Lowassa akiwa AICC nafikiri bado, kama mzazi wa mwanafunzi mwenzetu , alikuwa anakuja sana shule kufuatilia mambo ya elimu ya watoto, kuongea na walimu. Ni kati ya wazazi niliokuwa nawaona sana wakija shule kufuatilia mambo ya elimu.
Alivyokuja kuingia kwenye siasa na kusisitiza mambo ya elimu nilikumbuka sana na kuona huyu mtu ameishi haya maneno, si mambo aliyoanza kuyasema baada ya kuingia kwenye siasa.
RIP Mzee Edward Ngoyai Lowassa.