TANZIA Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia

TANZIA Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia

My feeling ni kwamba aliondoka siku nyingi Sana SEMA Protokali za kikubwa ndio.zilichekewesha kumtangaza!!


Nafsi yangu inaniambia yupo mwingine hatangazwi Hadi Hawa kwanza watangazwe ndio huyo atafuata coz yeye ni mkubwa zaidi kuliko Hawa wanaotangulia Sasa hivi!!

Ngoja tuone!!
Aseeee.
Watu mna maneno[emoji849][emoji849][emoji849]
 
aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania na mgombea urais mwaka 2015 Kwa tiketi ya chadema na umoja wa upinzani ukawa Edward ngoyai LOWASSA amefariki DUNIA
Habari kamili kuwajia hivi punde
 
Back
Top Bottom