TANZIA Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia

Aseeee.
Watu mna maneno[emoji849][emoji849][emoji849]
 
aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania na mgombea urais mwaka 2015 Kwa tiketi ya chadema na umoja wa upinzani ukawa Edward ngoyai LOWASSA amefariki DUNIA
Habari kamili kuwajia hivi punde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…