The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Tunamuombea afya njema apone haraka.Wakuu,
Kwa taarifa za uhakika, Waziri Mkuu wa zamani, Ndg. Edward Lowassa ni mgonjwa na amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
View attachment 2097937
Mwakyembe's .....I hate him
Usimsingizie bwana yeye alisema GUGU siyo GOGO!Google au gogo ya Amos Makala
Hili ndo tatizo la mswahili akifahamu kidogo lugha ya muingereza. Anakosoa kwa kuponda kuliko hata mwenye lugha yake.If anyone Dislike or hate Lowassa? Very poor english grammar! Ungesema If anyone dislikes or hates Lowassa.....Kwa nini usingeamua kuandika tu kwa kiswahili? Hapa tuna kazi na lugha ya Malkia jamani, ukute hapo una digrii na upupu wote huu! Dah!
Rubbish! Kwa hiyo ndiyo unatuletea ujinga humu! Kama hujui English kaa pembeni, siyo kuja kuleta aibu humu kwenye jukwaa la wasomi, la sivyo kubali tukurekebishe siyo na wewe unavimba na kujitutumua na upupu wako wa St. Kayumba hapa.Acha ukuda wewe kwan wazungu wanaongeaje kiswahili?
Ndani ya CCM hakuna msafi
Mungu amponye mzee wetuWakuu,
Kwa taarifa za uhakika, Waziri Mkuu wa zamani, Ndg. Edward Lowassa ni mgonjwa na amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
View attachment 2097937
Hili ndo tatizo la mswahili akifahamu kidogo lugha ya muingereza. Anakosoa kwa kuponda kuliko hata mwenye lugha yake.
Hili ndo tatizo la mswahili akifahamu kidogo lugha ya muingereza. Anakosoa kwa kuponda kuliko hata mwenye lugha yake.
Siamini kama leo ana miaka 69 pekee nadhani kwenye 82 hiviLowasa kazeeka umri umeenda hakuna maswali hapo maradhi kawaida tu.
Mfumo mbovu wa CCMSema watanzania. Ccm wewe CCM. Mbona sio msafi
Mungu amponye.. ni former schoolmate.Wakuu,
Kwa taarifa za uhakika, Waziri Mkuu wa zamani, Ndg. Edward Lowassa ni mgonjwa na amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
View attachment 2097937
English is just a language not a measure of intelligence! Watu kama kina Messi hadi leo kiingereza kinawapiga chenga wanaongea broken but look at where they are!If anyone Dislike or hate Lowassa? Very poor english grammar! Ungesema If anyone dislikes or hates Lowassa.....Kwa nini usingeamua kuandika tu kwa kiswahili? Hapa tuna kazi na lugha ya Malkia jamani, ukute hapo una digrii na upupu wote huu! Dah!
69 ya kuandikwa kavuka huko zamani tu.Siamini kama leo ana miaka 69 pekee nadhani kwenye 82 hivi