Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hawa jamaa kwa care wanazopata za hali ya juu lazima wana umri mkubwa sn, huku mtaani mtu wa miaka75 ni mtu wa kawaida kabisa tena bado ana nguvu haswa69 ya kuandikwa kavuka huko zamani tu.
Angeandika Kiswahili tu. Halafu Messi MuArgentina lugha yake ya kimataifa na ya kusomea ni kihispaniola. Kiingereza ni lugha ya ziada kwake. Anavyoongea sawa kabisa.English is just a language not a measure of intelligence! Watu kama kina Messi hadi leo kiingereza kinawapiga chenga wanaongea broken but look at where they are!
Na wala hakuna anayewacheka kwanini hawajui kiingereza ila akikosea Samatta wabongo tunamcheka kuwa hajui! Lakini wengi wa wanaomcheka wamemzidi nini na kiingereza chao!
Wabongo tuache kujiona tuna akili kisa tunajua sana kiingereza wakati wengi wa wanaokijua hakuna kinachowasaidia! Kwa mtazamo kama wako bado tuna safari ndefu sana asee!
HomeboyPole sana Ngoyai.
Shida yako unafikir elim ni kukariri madaftar. Waliokuprogram ndio walikukosea ckulaum. Mnasoma kwa nguvu ili muwe kama wazungu mnasahau hakuna jamii imewahi kuendelea kwa kutegemea tamaduni za jamii nyingine chief. Mi mbona nakifahamu kifaransa ndio nimesoma sasa.Rubbish! Kwa hiyo ndiyo unatuletea ujinga humu! Kama hujui English kaa pembeni, siyo kuja kuleta aibu humu kwenye jukwaa la wasomi, la sivyo kubali tukurekebishe siyo na wewe unavimba na kujitutumua na upupu wako wa St. Kayumba hapa.
Neema ya Mungu Imponye na kumlinda mzee wetu.Wakuu,
Kwa taarifa za uhakika, Waziri Mkuu wa zamani, Ndg. Edward Lowassa ni mgonjwa na amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
View attachment 2097937
Wewe hujasoma ukaelimika, umesoma ukajua kiingereza.Ndiyo maana yake, bila kukosoana tutaonekana wote tumesoma St. Kayumba kama wewe!
Kwahiyo mkuu unataka kusema shule zote nchini zinafundisha kwa kiingereza? Kwa exposure ya Messi utasema hadi leo asijue kiingereza kweli?Angeandika Kiswahili tu. Halafu Messi MuArgentina lugha yake ya kimataifa na ya kusomea ni kihispaniola. Kiingereza ni lugha ya ziada kwake. Anavyoongea sawa kabisa.
Sisi watanzania lugha yetu ya kimataifa na kitaaluma ni Kiingereza. Ikikupiga chenga hakika ni tatizo. Ifanyie kazi badala ya kukimbilia kujitetea kisiasa.
Mm ni mswahili ndio. Na hao waingereza inaonekana huwajui unajua tu lugha yao. Pia hakuna ufahari wowote wa kujua hiyo lugha kama haina mchango kwenye kipato chako au kazi yako. Nyenyenye My english is perfect, arousing pity.Wewe ndo mswahili hasa mana wazungu hao unaowasema hawakopeshani kwenye ujinga. Umerekebishwa the hard way so Jifunze. JF inapaswa kutusaidia. Ndo Elimu yenyewe. Kwanini achanganye lugha. Na hiyo Ni Basic english. He she it likes. Eats. Usw.
Mkuu hakuna ubaya wowote katika kuijua lugha kwa ufasaha esp linapokuja suala la lugha ambayo inatumika duniani kote.Kwahiyo mkuu unataka kusema shule zote nchini zinafundisha kwa kiingereza? Kwa exposure ya Messi utasema hadi leo asijue kiingereza kweli?
Wakati huko Argentina aliondoka muda mrefu! Wakati Samatta amesoma shule za Kayumba akaingia moja kwa moja kwenye mpira hicho kiingereza angekijulia wapi?
My point is usijivunie kujua kiingereza wakati hakuna kilichokusaidia! Na wala siyo kwamba kujua kiingereza ndiyo kipimo cha akili ya mtu hilo halipo wala tusijidanganye!
Haya tuache mifano ya watu binafsi tuje kwenye nchi. Angalia China kule kiingereza hawakijua na hawakipendi ila angalia level yao ya maendeleo na lugha yao inavyoheshimika!
Halafu angalia nchi kama Kenya ambao wanajivunia kujua kiingereza! Yaani wanakihusudu kiasi kwamba wanatubeza watanzania na kuona kama wote hatukijui lakini wako wapi!
Na hiki ndicho hasa mkuu kilichofanya niandike shida siyo kujua kiingereza ofcourse kujua kiingereza kwa ufasaha ni vizuriMkuu hakuna ubaya wowote katika kuijua lugha kwa ufasaha esp linapokuja suala la lugha ambayo inatumika duniani kote.
Shida ni hawa wanaokosoa bila staha wengine sababu wanaaamini kiingereza ni alama ya uwezo wa juu wa kufikiri na asiyejua hiyo lugha hajaelimika.
Lugha yetu ni kingereza lakini tunayo mazoezi ya kuongea ya kutosha?. Nigeria mtoto akitoka darasani anaendelea kuongea kingereza ndani ya basi na akifika nyumbani ni kingereza.Angeandika Kiswahili tu. Halafu Messi MuArgentina lugha yake ya kimataifa na ya kusomea ni kihispaniola. Kiingereza ni lugha ya ziada kwake. Anavyoongea sawa kabisa.
Sisi watanzania lugha yetu ya kimataifa na kitaaluma ni Kiingereza. Ikikupiga chenga hakika ni tatizo. Ifanyie kazi badala ya kukimbilia kujitetea kisiasa.
Kikwete ni mkubwa kwa Lowasa, hayo mamvi yasikutishe, umemuona mwanaye Freddy? Ameshazeeka tayari, ni pesa tu ndio zimewasaidia.Siamini kama leo ana miaka 69 pekee nadhani kwenye 82 hivi
Komenti hii ni yako kweli bro?Rais wa mioyo ya watanzania na kipenzi cha Watanzania Mungu akujalie afya na Maisha marefu .
If anyone Dislike or hate Lowasa am officially declaring humanity is doomed and faked up!
...ya Amos ni GUGU mkuu....😊😊Google au gogo ya Amos Makala