Edward Snowden: Jasusi wa Kimarekani alivyopania kumdhalilisha Obama

Kama marekani walifanya vile na kuudanganya ulimwengu pia na kuweza kuzibiti uwongo huo mpaka Leo nalo ni jambo kubwa na ni ishara ya kuwa wako juu


Makala zinaweza kuandikwa nyingi mwisho wa siku tunataka kuprove kama Osama yu hai
 
 
Kalendi wee kalendi hili treni lote la nini
 
Duuu mku umetish huyu jamaa ni noma aseee pia asnt I get somthing
 
Mkuu kama uonavyo uzi ni mrefu sana, nisingependa tena uendelee kuwa mrefu zaidi na zaidi, ili kuepusha kuwachosha wasomaji. Kuna vitu vingi nimeviruka ili nifike kwenye lengo la kupost uzi huu.

Akiwa katika kampuni ya Dell katika program ya operesheni za ukanda wa Hawaii ambapo moja ya majukumu yake makubwa yalikua kusimamia/kufuatilia intelijensia ya kieletroniki ya nchi za China na Korea Kaskazini, ndipo alipata nafasi ya kufanya kazi sehemu mbali mbali ikiwemo Tokyo na Hong Kong.

Akiwa Hong Kong ndipo aliresign kazi katika kampuni ya Dell. Hapo ndipo akaanza kutoa baadhi ya siri alizokuwa nazo. Mkuu lengo la uzi wangu ulikua kumulika suala la utata wa kifo cha Osama, ambapo alivujisha siri hii alilopata hifadhi (asylum) na ulinzi mzuri nchini Urusi.
 
Sasa naanza kuona mwanga wa connection kati ya uchaguzi wa Trump USA na tetesi za kulalamikia Russia kuhusika na uchaguzi wa Marekani ...Huenda Snowden ana kamkono katika hili pia...ahsante kwa mada mrua kama hii....jukwaa la siasa ni kusoma without comment
 
Mkali sana ila ipo siku yakuingia mikononi mwao
 
Trump na Vladmir Putin ni marafiki, Hapo Trump hawezi kuja kumuomba Putin amrudishe nyumbani Snownden?
Mkuu Jambazi Hakuna kitu kinaheshimiwa/kuthaminiwa katika ulimwengu wa ujasusi kama asset, ni kitu expensive sana. Hata kama hiyo asset ni unyoya wa kuku au karatasi yenye coded information itatunzwa zaidi ya kilo ya dhahabu. Snowden ni asset tamu sana ambapo sioni ni vipi Vladmir anaweza kushawishiwa kumwachia kizembe zembe. Ni kama ulikua unapita karibu na benk ukaokota burungutu la pesa, afu keshowe afisa wa benki hiyo akakuomba kuzirudishe izo pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…