Edward Snowden: Jasusi wa Kimarekani alivyopania kumdhalilisha Obama

Asante mtoa uzi kwa kuniongezea kitu fulani kwenye ubongo wangu!
 
ONTARIO binafsi nakubaliana na Snowden kuvujisha siri ila sikubaliani na uwepo hai wa Osama ni jambo haliyumukiniki kwa gaidi kama Osama mtiifu kwa uislam na all Qa'ida.

Nimekaa na wa Islamu wenye msimamo mkali hawako tayali kubadirishwa na fikira za fedha ni heri afe ktk imani yake anayo amini.

Propaganda nyingi za Osama hakufa ni uzushi wa kutunga Osama amekufa.
 
We nae naona hujui chochote,
Je unafahamu alieshambulua pentagon!!??
Au unajua ni Osama?
 
Vip kama hiyo pia anayofanya Edward ikawa ni plan ya marekani!!
Huenda kuna kitu wanakitaka maana hawa jamaa kwa kuigiza ni balaa
Leo waweza kuta imekuw hivi kesho habari zikavuja Edward alipewa plan
 
nikazie shaka yangu kuhusu @GERAMINO:namna ulinzi wa Osama ulivyokua dhaifu kwangu mimi napata kigugumizi,kumzika baharini bila kumhoji kabla hajauawa,nakubaliana na mtoa thread kwamba kwa mujibu wa Snowden yawezekana Osama bado analipwa na USA,Ikumbukwe Osama alikua ajenti wa CIA na mafunzo yote waligharamia kwa malengo hasa kwenye mgogoro wa Iran na Iraq miaka ya 1980`s,ukichunguza kwa undani hata ugaidi CIA wamefanya ni kauli mbiu ya kulinda maslahi yao na zaidi kuhodhi mali mataifa wanayoyalenga,uchonganishi kama kule libya wamejibebea mafuta na madini huku damu za walibya zikimwagika wao wamevuna walichotaka
 
Vip kama hiyo pia anayofanya Edward ikawa ni plan ya marekani!!
Huenda kuna kitu wanakitaka maana hawa jamaa kwa kuigiza ni balaa
Leo waweza kuta imekuw hivi kesho habari zikavuja Edward alipewa plan

We kweli umefikiri mbali pia..yamkini hata huko Russia Snowden anafanya kazi ya kupata taarifa zao...hawa watu sio wa kuwaamini na hizo taarifa sometimes wanataka Dunia Ku dance according to their tunes
 
Osama atakuwa kadead but nina hakika kifaa kama Snowden kikikamatwa hata leo na USA hawawezi kukifanya chochote ndio kwanza watamtunza zaidi.Au watamfanya kama yule mrusi aliyetorokea UK kama sikosei akadungwa vya kudungwa mpaka akadead akiwa anatisha balaa
 
Asante sana kunifungua mamcho,
 
Imekaa njema. Ila dhana ya usaliti ni kukiuka makubaliano ambayo mmeyafanya kwa pamoja yawe mazuri au mabaya.
 
Hata mtoa mada Ni Snowden wa Tanzania [emoji848]
 
very interesting ila ndefu sana ntaisoma badae
i hope i wil learn somethin on this
 
Aisee inabidi mods waweke na button za dislike. Yaani i wish dislike button ingekuwepo niibonyeze kwenye hiyo comment ya jamaa.

Sure, nina hamu sana na hiyo button..tena isiitwe dislike iitwe kiswahili kabisa "chaka" au " Tango Pori" hahahaha
 
ni kama taarifa za wamarekani kufika mwezini..wazungu wanitaga hoax au conspiracy theory au high budget holywood saga...
Aisee nimekutukana!una nukuu taarifa yote kwa maelezo yako hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…