EFF ya Julius Malema imechokwa ghafla dhidi ya uMkhonto we Sizwe ya Zuma, Kulikoni vijana?

EFF ya Julius Malema imechokwa ghafla dhidi ya uMkhonto we Sizwe ya Zuma, Kulikoni vijana?

Tnzania shida sio upinzan bali watz ni vichwa maji wanashabikia chama kuliko utawala wao
mie nadhani Tatizo moja wapo kubwa ni hilo la kujifanya wew ni bora zaidi ya mwingine, bila sababu yoyote ya maana, au kujipa umuhimu wa kipekee zaidi ya wengine 🐒

kwamba wew ni muerevu, wengine si waerevu, chama chako ni cha maana zaidi kuliko cha wengine, bila kuonyesha au kueleza uerevu, umuhimu na umahiri wa sera za chama chako uko wap 🐒

I think mie nadhani hapo ndiko tumekwama, hatshawishiani kwa hoja za maana na za kumvutia mwananchi azikubali na kuziunga mkono....

hii ya eti,
at first place tu, kwamba waTz ni vichwa maji 🤣
 
Alijua akitukana Israel ataungwa mkono na Muslims kumbe Muslims wanamuona ni Kafiri tu.. ndio ukijiunga na Iblis anakupokea kisha anakuacha peke yako.. sababu ushakuwa wake na ukitaka kuchomoka anakuua
siasa za mrengo wa kulia, siasa kali za mageuzi nadhani bado nafasi yake ni kidogo sana hususani Africa 🐒
 
Tatizo la EFF ni sawa na Chadema hawana sera kazi Yao kusubiri matukio ndio waongee

Zuma kaja na sera hahangaiki kukosoa serikali Wala Nini yeye anaongea tu wakishika serikali wataanya Nini

Wananchi wanamuelewa Zuma kuliko Malema

Malema Kwa Tanzania ni pacha wa Lisu kazi yake kubweka kuvizia serikali imekosea wapi ili abweke

Malema kiongozi wa matukio hakuna mwanasiasa wa maana pale na chama chake ni sawa tu na Chadema hamna kitu
Ukiona CHADEMA inatajwa isipohusika ujue imewakamata pabaya wapinzani wao.
 
Tatizo la EFF ni sawa na Chadema hawana sera kazi Yao kusubiri matukio ndio waongee

Zuma kaja na sera hahangaiki kukosoa serikali Wala Nini yeye anaongea tu wakishika serikali wataanya Nini

Wananchi wanamuelewa Zuma kuliko Malema

Malema Kwa Tanzania ni pacha wa Lisu kazi yake kubweka kuvizia serikali imekosea wapi ili abweke

Malema kiongozi wa matukio hakuna mwanasiasa wa maana pale na chama chake ni sawa tu na Chadema hamna kitu
Nimeipenda hii
 
Alijua akitukana Israel ataungwa mkono na Muslims kumbe Muslims wanamuona ni Kafiri tu.. ndio ukijiunga na Iblis anakupokea kisha anakuacha peke yako.. sababu ushakuwa wake na ukitaka kuchomoka anakuua
Zuma pia kawapinga wayahudi mbona amezoa kura? Hakuna chama South Africa kina unga mkono ukatili wa Israel.

Na ambacho hujui wakati wa ubaguzi huko Sauzi, hao wayahudi unaowashobokea ndio nchi pekee iliyokua inawa support kwa silaha hao makaburu kutekeza waafrika wenzio.
 
Kulikoni chama kipya cha Mzee Jacob Zuma MK Party kinaipiku EFF na kikongwe DA?

Nadhani mageuzi ya fikra na sera ni muhimu zaidi ya kulalamika bila alternatives upinzani lazima kujipanga kwa sera mbadala, mipango na mikakati madhubuti ya kutekelezeka.

Unazungumziaje hali hiyo huko South Africa 🐒
Mleta mada umechukua matokeo ya sehemu moja ukadhani ndivyo yatakuwa kwa sehemu zote. MK Party ni chama ambacho kipo katika misingi ya Ukabila. Chama ambacho kina wafuasi wengi wa Kizulu. Matokeo katika Jimbo la KwaZulu Natal yanaonesha hicho chama kimezoa kura nyingi. Hilo si jambo la kushangaza hata kidogo, kwani Jimbo hilo wakazi wengi ni Wazulu. Subiri kwanza uone mambo yatakavyokuwa baada ya matokeo toka sehemu zingine za nchi hiyo kuoatikana.
 
Mleta mada umechukua matokeo ya sehemu moja ukadhani ndivyo yatakuwa kwa sehemu zote. MK Party ni chama ambacho kipo katika misingi ya Ukabila. Chama ambacho kina wafuasi wengi wa Kizulu. Matokeo katika Jimbo la KwaZulu Natal yanaonesha hicho chama kimezoa kura nyingi. Hilo si jambo la kushangaza hata kidogo, kwani Jimbo hilo wakazi wengi ni Wazulu. Subiri kwanza uone mambo yatakavyokuwa baada ya matokeo toka sehemu zingine za nchi hiyo kuoatikana.
Nadhani muungwana moja aliweka matokeo yanavyoendelea kutolewa mpaka sasa.

MK Party ya ZUMA yenye chini ya miezi mi5 tangu kuanzishwa kwake, inaendelea kufanya vizuri zaidi ya EFF yenye zaidi ya miaka 10. kwa hali iyo, chama kipi ndio cha kikabila sasa hapo ?🐒

Fuatilia muendelezo wa matokeo muda huu 🐒
 
Tatizo la EFF ni sawa na Chadema hawana sera kazi Yao kusubiri matukio ndio waongee

Zuma kaja na sera hahangaiki kukosoa serikali Wala Nini yeye anaongea tu wakishika serikali watafanya Nini

Wananchi wanamuelewa Zuma kuliko Malema

Malema Kwa Tanzania ni pacha wa Lisu kazi yake kubweka kuvizia serikali imekosea wapi ili abweke

Malema kiongozi wa matukio hakuna mwanasiasa wa maana pale na chama chake ni sawa tu na Chadema hamna kitu
Baada ya risasi 16 unahisi maneno yanaweza pia?. Damu ya mtu mbaya sana
 
Tatizo la EFF ni sawa na Chadema hawana sera kazi Yao kusubiri matukio ndio waongee

Zuma kaja na sera hahangaiki kukosoa serikali Wala Nini yeye anaongea tu wakishika serikali watafanya Nini

Wananchi wanamuelewa Zuma kuliko Malema

Malema Kwa Tanzania ni pacha wa Lisu kazi yake kubweka kuvizia serikali imekosea wapi ili abweke

Malema kiongozi wa matukio hakuna mwanasiasa wa maana pale na chama chake ni sawa tu na Chadema hamna kitu
Hizi zote ni porojo ishu hapo wazulu wameamua kumuunga mkono wazulu wenzao
 
Muulilize niliyemjibu watu wanazungulizia eff anamshambulia Lisu. Anausika nini?. Kama alishambulia kwa risasi sasa anamshambulia kwa maneno
kule Maricana SA wafanyikazi wa viwandani nadhani migodini walokua kwenye mgomo waliuawa kwa kupigwa risasi hadharani na askari, EFF imekua ikitumia hiyo kama hoja lakini nadhani bado wanainchi wanahitaji mipango ya kuwakomboa zaidi ya huruma 🐒

huenda anaasociate na hali inavyokwenda kwa miongoni mwa wapinzani nchini 🐒
 
kule Maricana SA wafanyikazi wa viwandani nadhani migodini walokua kwenye mgomo waliuawa kwa kupigwa risasi hadharani na askari, EFF imekua ikitumia hiyo kama hoja lakini nadhani bado wanainchi wanahitaji mipango ya kuwakomboa zaidi ya huruma 🐒

huenda anaasociate na hali inavyokwenda kwa miongoni mwa wapinzani nchini 🐒
Upo sahihi lakini je Malema alishawahi kushambuliwa na risasi na kashaendesha maandamano na kushambulia wageni kwa maneno makali.
 
Back
Top Bottom