Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alijipambanua kusapoti Ushoga!! Nilijua hiyo hatari isingemuacha salama MalemaKulikoni chama kipya cha Mzee Jacob Zuma MK Party kinaipiku EFF na kukipumulia kisogoni chama kikongwe cha DA?
Nadhani mageuzi ya fikra na sera ni muhimu zaidi ya kulalamika bila alternatives upinzani lazima kujipanga kwa sera mbadala, mipango na mikakati madhubuti ya kutekelezeka.
Unazungumziaje hali hiyo huko South Africa 🐒
Sure lo time will tell
Ukiongea hilo south watakuchoma motoMimi nakipenda chama Cha DA. Sema tu ni wazungu wanabaguliwa, ila wangeibadilisha hii SA ya Ufisadi
Level ya ufahamu wa wananchi ni muhimu snFor your information, chunguza vizuri utaona vibrant oppositions huibuka zaidi kwenye brutal regimes 🐒
serikali dhalimu huibuka viongozi mahiri sana wa upinzani, na mara nyingi hutwaa madaraka kwasabb ya akili na muda mwingi hutumia kuwashawishi wanainchi kwa sera na mipango mikakati ya kuwasaidia kimaendeleo, sio kulalamika 🐒