EFM Sport HQ ni Kipindi cha Hovya Siku Hizi

EFM Sport HQ ni Kipindi cha Hovya Siku Hizi

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Kipindi kimekosa mvuto kabisa, kimekuwa kipindi cha majungu, tunakumbuka jana hoja kubwa ilikuwa ni tukio la Yanga kutangaza CEO mpya na Afisa habari wake lakini cha kushangaza kipindi kizima kilijikita kwenye malumbano ya mijinga kabisa, wamejikita kwenye hojabdhaifu kabisa eti Manara hajawahi kuwa Yanga, sijui Priva amechukuwa kadi karibuni, sijui CEO wa Yanga alikuwa na kashifa.
 
Kipindi kimekosa mvuto kabisa, kimekuwa kipindi cha majungu, tunakumbuka jana hoja kubwa ilikuwa ni tukio la Yanga kutangaza CEO mpya na Afisa habari wake lakini cha kushangaza kipindi kizima kilijikita kwenye malumbano ya mijinga kabisa, wamejikita kwenye hojabdhaifu kabisa eti Manara hajawahi kuwa Yanga, sijui Priva amechukuwa kadi karibuni, sijui CEO wa Yanga alikuwa na kashifa.
Anzisha Redio yako ikuridhishe utakavyo.
 
Kwani kuna ubaya mtu kusema ukweli?
 
Unaweza vip kukah na kuwa sikiliza kina jemedari na Oscar na kitenge cna Kaz lkn siwez kuwa sikiliza hao watu
 
Yaani Jemedari ndo anajifanya mjuaji wa kila kitu.
 
Wewe umezuiwa kuwa Mjuaji wa kila Kitu kama Yeye? Acha Nongwa ( Wivu ) na Uswahili sawa?
Hakuna watu wanaopitia kipindi kigumu kwasasa kama Panya Road na mashabiki wa MAKOLO!,Na ukizingatia mashabiki wa MAKOLO ndo hao hao Panya Road,yaani mateso wanayopitia ni Jemedari binti kazumari tu ndiye anayejua![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapa watakaolalamika ni lile kundi ambalo huwa linadhani muda wote linaonewa.
 
Kwenye watu wanne mmoja ni mgonjwa.

Manara ALISEMA. Pale yanga wenye akili timamu ni Mzee Sunday Manala na Mzee KIKWETE tuuuuuuu.
 
Kipindi kimekosa mvuto kabisa, kimekuwa kipindi cha majungu, tunakumbuka jana hoja kubwa ilikuwa ni tukio la Yanga kutangaza CEO mpya na Afisa habari wake lakini cha kushangaza kipindi kizima kilijikita kwenye malumbano ya mijinga kabisa, wamejikita kwenye hojabdhaifu kabisa eti Manara hajawahi kuwa Yanga, sijui Priva amechukuwa kadi karibuni, sijui CEO wa Yanga alikuwa na kashifa.
Kwani wewe unatakaje?
 
Back
Top Bottom