Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
Watangazaji hao hasa wa Wa TV2 na wa Radio 2! Inasemekana Baby Kabae Casto Dikson Millard Ayo na Raymond Mshana.
Daaaahh wakimnyakua Millard, itakuwa ni balaa na pigo kubwa kwa radio mawingu.. Huwa nawaombea sana hawa E fm wazidi kuwa majembe ili kuleta balance kwenye media za burudani!! Maana mawingu waliiteka nyanja ya burudani na wakaota viburi kama miungu watu
Huu mchezo hauhitaji hasira!