Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Namkumbuka mzee wa mabwepande.Mkuu Satoh je unamjua mtu mmoja wa kuitwa DR Ulimboka!!? Huyo Ulimboka yalimpata ya kumpata kipindi cha JK!!
Issue ni pombe au ukweli wa kile alichokisema?Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.
Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Mjizo jana alikua na Mkwere pale Bwaga Moyo tamashani Msoga....unategemea nini.Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopa kopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.
Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.
View attachment 2464611
Magufuli hakupenda kusifiwa you are getting it wrong, isipilokuwa chawa na kunguni na papasi waliozunguka, yeye alikua focused na kazi zake tu za kuikwamua Tanzania. Sema tu ule usemi wa mzigo mzito mpe Punda wa kinyamwezi.Nilimpenda Magufuli kwenye mambo mengi lakini kwenye hili la kupenda kusifiwa tu ameharibu Sana mfumo. Nchi imegeuka ya hovyo mtu akikosoa tu anaonekana adui,atasakamwa na kesi za uhujumu nchi atapewa.
Mama amerithi na kuiendeleza tabia mbovu na ya hovyo Sana.
Watu kama wewe kwenye nchi nyingine ni "mboga mchemsho"Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.
Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Wa Tz karibia 80% wana tabia hzo kaka... Uoga.. kujipendekeza etc... Tena sio 80 ni 90Media uchwara za Bongo..
Akome, kwanza sio muandishi wa habari
Yes jamaa huwa anauma kotekote. Hata simba na yanga huwa anazipopoa zote tu licha ya kuwa yeye ni simba.Nyie ni wale wajinga wa ccm mnapenda tu kusifiwa na sio kukosolewa.
Huyo huyo Hando nilishamsikia kwenye kipindi hiko hiko miezi kadhaa iliyopita akisema "Nchi kwa kweli imefunguka hivi sasa". Akipongeza hatua za huyo bibi yenu. Leo kukosoa imekuwa nongwa!
Mwambieni huyo bibi yenu kama hataki kukosolewa aachie madaraka akaendesha familia yake. Hii nchi ni ya WaTZ wote sio mali ya urithi toka kwa baba yake.
Tanganyika ni nchi ilio kufaGerald Hando was very right kutoa maoni yake. Madeni yanatuumiza. Mbaya zaidi mikopo tuna share 50-50 na Zanzibar, lakini mzigo wa ulipaji ni wa Tanganyika
%90 ETI? HihihihiiiiWa Tz karibia 80% wana tabia hzo kaka... Uoga.. kujipendekeza etc... Tena sio 80 ni 90
Sasa kama si Msimamo wa Taasisi wanahangaika kwanini kumwadhibu Hando?Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopa kopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.
Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.
View attachment 2464611
Sio Bure Hando alishawahi kukung'ata kisha akaku_dump. Umebaki na makasiriko. Akiondolewa hapo ndio utaajiriwa wewe!?Ni muda muafaka Sasa media industry ikaondoa majitu mahuni, huyu arudi pale Masai pub akapige miziki
Tunahitaji katiba mpya ambayo italetq usawa ktk taifa letu ccm ni shidaKiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopa kopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.
Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.
View attachment 2464611
Ukifikiria Kwa kina, Utagundua jamaa anaitetea taasisi Ili wapate ugali wao wa kila siku.Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopa kopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.
Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.
View attachment 2464611
Shauri yako! Ngoja mimi nikae kimya!Acha na mimi niongezeke. Serikali yetu inakopakopa sana bila ridhaa ya watakaokuja kulibeba hilo deni. Yaani wananchi kupitia Bunge
Ukishaapa kuitetea na kuisimamia katiba, halafu ukaivunja, wewe mnafiki tu.Magufuli hakutaka unafiki. Kama kuiba uchaguzi naiba waziwazi.