EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

Mkuu Satoh je unamjua mtu mmoja wa kuitwa DR Ulimboka!!? Huyo Ulimboka yalimpata ya kumpata kipindi cha JK!!
Namkumbuka mzee wa mabwepande.

Lakini enzi ya jiwe hizi mambo Ni Kama zilipigwa muhuri Kaka,au tuseme sisiem Siyo watu wazuri na siyo watu wa kuwaamini.
 
Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.

Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Issue ni pombe au ukweli wa kile alichokisema?

Kama hoja yake ni positive kwanin tuamue kumjaji kwa issue zilizo nje ya alichokisema
 
Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopa kopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.

Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.

View attachment 2464611
Mjizo jana alikua na Mkwere pale Bwaga Moyo tamashani Msoga....unategemea nini.
 
Nilimpenda Magufuli kwenye mambo mengi lakini kwenye hili la kupenda kusifiwa tu ameharibu Sana mfumo. Nchi imegeuka ya hovyo mtu akikosoa tu anaonekana adui,atasakamwa na kesi za uhujumu nchi atapewa.
Mama amerithi na kuiendeleza tabia mbovu na ya hovyo Sana.
Magufuli hakupenda kusifiwa you are getting it wrong, isipilokuwa chawa na kunguni na papasi waliozunguka, yeye alikua focused na kazi zake tu za kuikwamua Tanzania. Sema tu ule usemi wa mzigo mzito mpe Punda wa kinyamwezi.
 
Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.

Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Watu kama wewe kwenye nchi nyingine ni "mboga mchemsho"


Acha kabisa kuvaa uwehu kichwani mwako.
 
Nyie ni wale wajinga wa ccm mnapenda tu kusifiwa na sio kukosolewa.

Huyo huyo Hando nilishamsikia kwenye kipindi hiko hiko miezi kadhaa iliyopita akisema "Nchi kwa kweli imefunguka hivi sasa". Akipongeza hatua za huyo bibi yenu. Leo kukosoa imekuwa nongwa!
Mwambieni huyo bibi yenu kama hataki kukosolewa aachie madaraka akaendesha familia yake. Hii nchi ni ya WaTZ wote sio mali ya urithi toka kwa baba yake.
Yes jamaa huwa anauma kotekote. Hata simba na yanga huwa anazipopoa zote tu licha ya kuwa yeye ni simba.
Hata mimi nishawahi kumsikia mara kibao tu akiisifu serikali kwa miradi yake hususani swala la mradi wa umeme ambapo na yeye alienda kabisa kule mwl Nyerere. Hata ukienda kwenye clip zake instagram ushahidi upo.

Shida ya ccm wanataka kusifiwa tu, hata ukiona madhaifu wewe sifu na kuabudu. Ukisema ukweli unaouma tu, shida hiyo.
Ni kweli nchi inakopa hovyo hii.
 
Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopa kopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.

Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.

View attachment 2464611
Sasa kama si Msimamo wa Taasisi wanahangaika kwanini kumwadhibu Hando?
 
Ni muda muafaka Sasa media industry ikaondoa majitu mahuni, huyu arudi pale Masai pub akapige miziki
Sio Bure Hando alishawahi kukung'ata kisha akaku_dump. Umebaki na makasiriko. Akiondolewa hapo ndio utaajiriwa wewe!?
 
Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopa kopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.

Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.

View attachment 2464611
Tunahitaji katiba mpya ambayo italetq usawa ktk taifa letu ccm ni shida
 
Yaani wakuu sijuhi tufanye nini?? serikali ya tanzania ipo juu ya kila kitu ipo juu ya bunge, mahakama,na sasa juu ya wananchiii wanataka waboronge waue nchiiii Sisi tukae kimyaaaa.Hawasomi katiba wanaongoza kwa akili zao tunapoelekea wataharibu wasipende kukurupuka wafate sheria ipo siku kutanuka nakwambia tuna hasira saaana.
 
Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopa kopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.

Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.

View attachment 2464611
Ukifikiria Kwa kina, Utagundua jamaa anaitetea taasisi Ili wapate ugali wao wa kila siku.
Tukisema media imuunge mkono Hando inaweza kula kwao Hasa hasara itakua ya Media,

Sometime hii nchi yabidi kua Chawa. Ili maisha yaende.
 
Back
Top Bottom