Lakini haya mengine hatujui kama wanasakamwa na serikali, au wanajipendekeza wenyewe tu kwa self censorship.Nilimpenda Magufuli kwenye mambo mengi lakini kwenye hili la kupenda kusifiwa tu ameharibu Sana mfumo. Nchi imegeuka ya hovyo mtu akikosoa tu anaonekana adui,atasakamwa na kesi za uhujumu nchi atapewa.
Mama amerithi na kuiendeleza tabia mbovu na ya hovyo Sana.
Hivi unajua Ulimboka alifanywa nn? Unajua Dkt Mvungi alipo? Unajua mabwepande ilikuwa maarufu kipindi gani mkuu?Tatizo lilianzia kwa Magufuli hili. Nchi imekuwa ya kisee Sana.
Hata Mungu anakosolewa sembuse sisiem.
MSoga iko wapi hapo!TANGAZO la MD wa E-FM la kumchukulia hatua Gerald Hando limetolewa kiwa Chalinze Msoga hii ina maana gani waView attachment 2464676dau tuchambue kinagaubaga
Nayajua matokeo yote mkuu.Hivi unajua Ulimboka alifanywa nn? Unajua Dkt Mvungi alipo? Unajua mabwepande ilikuwa maarufu kipindi gani mkuu?
Mkuu,enzi ya kikwete angalau Uhuru ulikuwepo tofauti na alipoingia Magufuli,japo haikuwa kwa % Mia ila angalau wakosoaji hawakupata misukosuko Kama enzi za jiwe na mwendelezo Hadi Sasa enzi ya mama.Kabla ya Magufuli media ganii ilikuwa inaichana serikali ????
Lini Tanzania imewahi kuwa na free press ????
Hahahahahahahaha we jamaa ni hatariMajizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.
Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.
Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Mkuu,Tatizo lilianzia kwa Magufuli hili. Nchi imekuwa ya hovyo Sana.
Hata Mungu anakosolewa sembuse sisiem.
Nani anapenda umaskini wa kujitakiaMedia uchwara za Bongo..
Chuki unayo weweNi kama una bifu na Hando! Punguza chuki