Hana kosa lolote walaMwamba wamemchonganisha na serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana kosa lolote walaMwamba wamemchonganisha na serikali
Kujisemea binafsi yake kupitia public media ndio kosa lake Kwa nchi kama hiiBrooo nikwamba majizoo hana kosa wala maana nikweli kajisemea binafsi yake
Kama Magufuli ndio alianzisha tatizo kwani ni lazima Samia aendeleze. Aliyemfukuza Job Ndugai uspika naye tuseme alikuwa Magufuli. Sasa si tuache wazi kiti cha Rais tujue tunafuata muongozo wa marehemu.Tatizo lilianzia kwa Magufuli hili. Nchi imekuwa ya hovyo Sana.
Hata Mungu anakosolewa sembuse sisiem.
Nilimpenda Magufuli kwenye mambo mengi lakini kwenye hili la kupenda kusifiwa tu ameharibu Sana mfumo. Nchi imegeuka ya hovyo mtu akikosoa tu anaonekana adui,atasakamwa na kesi za uhujumu nchi atapewa.
Mama amerithi na kuiendeleza tabia mbovu na ya hovyo Sana.
Ana makandokando yakeMajizo acha kujishushia heshima,ilikuwa simple tu kusema ni mtazamo wa mtangazaji na sio wa EFM
Media uchwara za Bongo..
From MSATA-CHALINZE
Kama Yesu alivyokimbiwa na kukanwa na washkaji wa karibu.Kama cr7?
Kauli yako ni ya uongo. Unakumbuka ukosoaji wa Kolimba na matokeo yake? Ulitokea wakati wa Magufuli?Mambo ya kupenda kusifiwa bila kukosolewa kuliasisiwa na Magufuli, mama anaendeleza. Hovyo kabisa.
Job Ndugai Mitochondria Syndrome usibonyeze hicho kitufe utawaamsha watu,Kwani kusema serikali inakopa sana na jambo hilo si zuri ni kosa kisheria?
Nani huyo?Ili aendelee kuuza madawa ya kulevya na kutakatisha pesa bila usumbufu
Madeni ya Bank na TRA?Ana makandokando yake
Sema upumbavu wako ukiwa MMU Ila sio Jukwaa la Siasa lazima ule Ban, Mods wa huko akiona tusi hata ukimtukana Nyerere unakula Ban ndefu Miss miaWapumbavu kama jf tu siku hizi rostam azizi anamiliki mamlaka hapa jf ...ukisema ukweli unapigwa ban bila ya sababu za msingi.
Yaan kumaanisha kwamba? Sijasoma Cubamimi ni kidume cha mbegu ila nasema wanawake wenzangu wa Kule arabuni tuloandamana tumeelewana