EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

Tatizo lilianzia kwa Magufuli hili. Nchi imekuwa ya hovyo Sana.

Hata Mungu anakosolewa sembuse sisiem.
Kama Magufuli ndio alianzisha tatizo kwani ni lazima Samia aendeleze. Aliyemfukuza Job Ndugai uspika naye tuseme alikuwa Magufuli. Sasa si tuache wazi kiti cha Rais tujue tunafuata muongozo wa marehemu.

Hakuna haja ya kumchagua Rais kisha tukabaki tunalialia kulalamikia aliyepita. Hili suala la kukubali kukosolewa halihitaji hata bajeti ya milioni 10
 
Nilimpenda Magufuli kwenye mambo mengi lakini kwenye hili la kupenda kusifiwa tu ameharibu Sana mfumo. Nchi imegeuka ya hovyo mtu akikosoa tu anaonekana adui,atasakamwa na kesi za uhujumu nchi atapewa.
Mama amerithi na kuiendeleza tabia mbovu na ya hovyo Sana.
Ameharibu sana akili za watanzania, watu wanaamini katika kusifiwa. Wengine wanaamini kujikombakomba kwa watawala ndio kutawatoa kimaisha, haya yote yalipaliliwa na kumwagiliwa na Magufuli. Itachukua muda mrefu sana huu ugonjwa kupona.
 
...safari bado ndefu, hiyo public notes sijui wamechapiwa na nani.
 

Attachments

  • Screenshot_20230101_011914.jpg
    Screenshot_20230101_011914.jpg
    139.1 KB · Views: 4
Hiyo taarifa wao wameipachika tu mtandaoni lakini imeandikiwa pale karibu na tawi la CRDB unapopanda Mnazimmoja.
 
muziki munene it stands always as their main target rather than political issues

Kituo cha habari DHAIFU
 
Hao efm ni wapumbavu wa mwaka ..kama ni maoni binafsi kinachowawasha ni kipi?
 
  • Thanks
Reactions: 911
Back
Top Bottom